Recent content by Point of Sales

  1. Point of Sales

    House4Sale Tunauza na kupangisha nyumba za aina mbalimbali

    ipo umbali gani kutoka beach
  2. Point of Sales

    A-Z: Wazo langu la biashara lililokamilika kwa kila kitu linalohitaji Mtaji

    Namba siwezi kuzifungua hapa mkuu... Huu haukuwa MPANGO WA BIASHARA (business plan) Business plan ndio inakuwa na kila ktu kuanzia marketing strategies hadi financial analysis.. Nimetoa mwanga wa namna ya nini nimekifanya.. nina system nzima...siwezi kufanya system bila ya namba
  3. Point of Sales

    A-Z: Wazo langu la biashara lililokamilika kwa kila kitu linalohitaji Mtaji

    Bila ya kupoteza muda ningependa kuchukua nafasi huu kwenda moja kwa moja kwenye mada husika. Ninakwenda kufunguka na kueleza kila kitu hatua kwa hatua juu ya wazo hili lilipotokea na kwanini muda huu ni muafaka kulitekeleza Bila kificho nitaeleza kila kitu kinachohitajika na namna wazo hili...
  4. Point of Sales

    Wananchi wakomolewa kwa kukimbilia kivuko kipya cha MV Kigamboni

    kwani mv kazi...haipo siku hizi...? kipindi natumia sana hivyo vivuko mv kazi kale kadogo dogo ni mwendo wa dkik 3 tu ..ila li mv magogoni ni dakika 7....
  5. Point of Sales

    Msaada: Ninawezaje kupokea pesa zaidi ya milioni 100 kutoka nje ya nchi kuja Tanzania

    Habari. Nahitaji msaada wa namna nitakavyoweza kupokea kiasi kikubwa cha pesa Tsh.100,000,000 kutoka nchi ya Afghanistan..... Njia nyingi za online transfer zinashindwa kutuma kiasi hicho cha pesa. Nahitaji mawazo yenu.
  6. Point of Sales

    Msaada: Biashara yenye mzunguko wa haraka

    Uijichanga ili upate fremu ya nn na wakati hauna biashara? uliwaza kitu gani mpaka ukachukua hiyo fremu? Hilo eneo ni la aina gani... barabara ya mtaani... barabara kuu? je mazingira yaliyokuzunguka yana umaarufu wa biashara gani.. Unaweza ukaanzia na biashara maarufu za eneo hilo ila ukaileta...
Back
Top Bottom