Msaada: Biashara yenye mzunguko wa haraka

Msaada: Biashara yenye mzunguko wa haraka

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,966
Nawasalimu katika jina lipitalo majina yote, nimejichanga na kupata frem ya biashara.

Mwanzo nilipanga kufanya biashara ya nguo za kiume, nimegundua biashara hii ina mzunguko mdogo sana.

Naomba ushauri wa biashara yenye mzunguko mkubwa hata kama ina faida ndogo ndogo.
 
Biashara yenye mzunguko mkubwa sehemu gani? Watu mnakwama pakubwa aiseeh.
 
Uijichanga ili upate fremu ya nn na wakati hauna biashara?
uliwaza kitu gani mpaka ukachukua hiyo fremu?

Hilo eneo ni la aina gani... barabara ya mtaani... barabara kuu?
je mazingira yaliyokuzunguka yana umaarufu wa biashara gani..
Unaweza ukaanzia na biashara maarufu za eneo hilo ila ukaileta kwa aina tofauti..

Swali jingine umejipanga na mtaji kiasi gani...
na wew una uzoefu wa aina gani ya biashara uliyowahi kufanya hapo kabla..
 
Nawasalimu katika jina lipitalo majina yote, nimejichanga na kupata frem ya biashara.

Mwanzo nilipanga kufanya biashara ya nguo za kiume, nimegundua biashara hii ina mzunguko mdogo sana.

Naomba ushauri wa biashara yenye mzunguko mkubwa hata kama ina faida ndogo ndogo.
Kubet ni mzunguko wa siku moja tu. Ukipata japo odds 2 basi laki inakupa faida ya same laki for only one day, tena ukiwa smart sio hata siku moja bali masaa tu.

Tafuta hata Odds 1.3 x 1.3 x 1.3 tayari una odds mbili na kodi yao juu
 
Frem ni ya bei gani?

Maana usijepata biashara ya faida laki4 alafu frem ni laki 2
 
Mkuu kabla hujaanza Safari ya kufanya biashara, unatakiwa ufanye very deeply research..

Research yako itategemea na vitu vifuatavyo, ambavyo sisi hatuvijui..

Mda wako
Mazingira
Mtaji ulio nao
Target market
Changamoto za jamii yako, nk

Hivyo vyote ndio vita determine ufanye biashara gani..

Alafu umechukua frem, bila ww kujua ufanye biashara gani

Kukwambia ufanye biashara gani, itakuwa ngumu..
 
ulijichanga ili upate fremu ya nn na wakati hauna biashara?
uliwaza kitu gani mpaka ukachukua hiyo fremu?
hilo eneo ni la aina gani... barabara ya mtaani... barabara kuu?
je mazingira yaliyokuzunguka yana umaarufu wa biashara gani..
Unaweza ukaanzia na biashara maarufu za eneo hilo ila ukaileta kwa aina tofauti..

swali jingine umejipanga na mtaji kiasi gani...
na wew una uzoefu wa aina gani ya biashara uliyowahi kufanya hapo kabla..
Nashindwa nijibu swali lipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baishara ya danguro.....kachukue watoto kutoka singida, kodisha nyumba nzima,jamaa akija, kwaalnza analipia pesa ya chumba 10000, pili atalipia pesa ya demu 3000 kwa bao moja....

Hahahaha si unajua wabongo wahana nguvu za kiume so bao moja ni dakika zero tu....samahani nitakaowakwaza ila ndio biashara yenye mzunguko wa faster....wazo hili hata Mimi najiuliza lilikujaje kichwani???
 
Kuna wenye mawazo chanya ( + ) hapo, ukiyafanyia kazi utakuwa umepata pa kuanzia.
 
Mkuu kabla hujaanza Safari ya kufanya biashara, unatakiwa ufanye very deeply research..

Research yako itategemea na vitu vifuatavyo, ambavyo sisi hatuvijui..

Mda wako
Mazingira
Mtaji ulio nao
Target market
Changamoto za jamii yako, nk

Hivyo vyote ndio vita determine ufanye biashara gani..

Alafu umechukua frem, bila ww kujua ufanye biashara gani

Kukwambia ufanye biashara gani, itakuwa ngumu..
Sianzishi kiwanda, nitajie tu biashara inayotoka kirahisi bila kujali hayo yote naamini zinajulikana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baishara ya danguro.....kachukue watoto kutoka singida, kodisha nyumba nzima,jamaa akija, kwaalnza analipia pesa ya chumba 10000, pili atalipia pesa ya demu 3000 kwa bao moja....

Hahahaha si unajua wabongo wahana nguvu za kiume so bao moja ni dakika zero tu....samahani nitakaowakwaza ila ndio biashara yenye mzunguko wa faster....wazo hili hata Mimi najiuliza lilikujaje kichwani???
Asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzunguko wa Haraka (faida ndogo) ni mahitaji ya kila siku...,

Ila kwanini mzunguko wa haraka kama faida ni ndogo ?, Kumbuka hili taifa la watu ambao hawana kazi na kila tambo mbili kuna biashara zinazofanana.., huo mzunguko wa haraka huenda usiwe haraka (supply ni kubwa kuliko demand)..

Kwahio vitu vyenye faida vingi wengi waliokuzunguka wanafanya..., ili uweze kuwazidi hao ni mpaka uwe na kitu cha ziada (unless otherwise wewe fanya tu kama wao muendelee kugawana umasikini..)

Ukitaka raha fanya kitu chenye ugumu wa watu kuingia kufanya kama wewe (hio inahitaji mtaji) au tumia ubunifu wako na expertise ambayo wengine hawawezi waka-copy na ku-paste (skills)
 
Mzunguko wa Haraka (faida ndogo) ni mahitaji ya kila siku...,

Ila kwanini mzunguko wa haraka kama faida ni ndogo ?, Kumbuka hili taifa la watu ambao hawana kazi na kila tambo mbili kuna biashara zinazofanana.., huo mzunguko wa haraka huenda usiwe haraka (supply ni kubwa kuliko demand)..

Kwahio vitu vyenye faida vingi wengi waliokuzunguka wanafanya..., ili uweze kuwazidi hao ni mpaka uwe na kitu cha ziada (unless otherwise wewe fanya tu kama wao muendelee kugawana umasikini..)

Ukitaka raha fanya kitu chenye ugumu wa watu kuingia kufanya kama wewe (hio inahitaji mtaji) au tumia ubunifu wako na expertise ambayo wengine hawawezi waka-copy na ku-paste (skills)
Asante mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzunguko wa Haraka (faida ndogo) ni mahitaji ya kila siku...,

Ila kwanini mzunguko wa haraka kama faida ni ndogo ?, Kumbuka hili taifa la watu ambao hawana kazi na kila tambo mbili kuna biashara zinazofanana.., huo mzunguko wa haraka huenda usiwe haraka (supply ni kubwa kuliko demand)..

Kwahio vitu vyenye faida vingi wengi waliokuzunguka wanafanya..., ili uweze kuwazidi hao ni mpaka uwe na kitu cha ziada (unless otherwise wewe fanya tu kama wao muendelee kugawana umasikini..)

Ukitaka raha fanya kitu chenye ugumu wa watu kuingia kufanya kama wewe (hio inahitaji mtaji) au tumia ubunifu wako na expertise ambayo wengine hawawezi waka-copy na ku-paste (skills)
Sikupingi mkuu
 
Back
Top Bottom