[/B]
wewe usipenyeze chuki zako hapa wakati watu wako siriaz! kama huwapendi wapentecoste hapa si mahali pake! makanisa kama uyoga wewe yanakuuma nini? wanapiga mziki mnene wewe ulitaka wapige mwembamba? acha hizo! mbona huchukii bar zinazofunguliwa kila kukicha na wanakesha kwa makelele hadi...
"IF YOUR LEGS CAN'T TAKE YOU TO PRAYER,THEN HOW DO YOU EXPECT THEM TO CARRY YOU TO PARADISE??"
nimeipenda hiyo hapo juu.
Lakini ukweli wa MUNGU kabisa kama kweli maaskofu wametumia mstari huo ku-justify tatizo hili naomba niwe wazi kabisa kuwa wamekosea saaaana na waombe radhi waumini wote wa...
wewe hujui unachokisema na husemi unachokijua!!! unasema ulichoambiwa! miaka 23 ya Nyerere hatukubaguana! tulikuwa tunakubali wenzetu wachinje cc tule! viongozi walikuwepo wa dini yenu lakini hawakuruhusu ujinga uingie akilini!!! je tabora mjini kuna watu wa imani gani wengi? je tanga mjini kuna...
tunahitaji viongozi wenye hekima na busara nyingi wakati huu! nina mashaka na huyo aliyeamua kutoa amri bila kupima mshindo nyuma wa tangazo lake!! ni vema viongozi wakawa ni wale wanaojua maisha halisi ya watu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.