Recent content by PMachage

  1. PMachage

    Tukiacha MA DC na MA RC labda na baadhi ya Mawaziri , kuna mwingine anaiunga mkono CCM kwa sasa ?

    Wewe acha kuaminisha watu kitu ambacho hakiko hivyo. Wasiyoipenda CCM ni wezi na wara rushwa. Nafikiri wewe ni mmoja wao.
  2. PMachage

    Kibiti, Pwani: Majambazi yaua Askari Polisi NANE(8)

    Mkuu upo pamoja na mimi. Yaani urafiki na raia hamna kabisa. Wenzetu wakimwona askari wanajuwa kuna amani lakini hawa wetu ukiwaona unakimbia. Mungu awalaze pema peponi
  3. PMachage

    Msaada haraka: mtoto analia siku nzima

    Njaa. Wewe hunyonyeshi vizuri unaona aibu kutoa ziwa kunyonyesha mtt.
  4. PMachage

    Mwili wa binadamu kuchomwa moto

    Nenda baa kisha nenda jikoni wanakochoma nyama utapata majibu yako km moshi una madhara yoyote. ushambiwa chura, nyoka, konokono na mbwa watu wanapiga. Yani jamaa kashika breki kusema na binadamu anapiga pia.!!
  5. PMachage

    Korea kaskazini yaionya Marekani kuhusu kusogelea pwani yake

    Msifurahie hatari wanandugu.
  6. PMachage

    Maswali ya alichokisema Roma! Inaonyesha hii ni movie ya kinajeria haina uhalisia

    Usalama wa taifa tena. Nyimbo zake alisema amejitoa kafara. Alafu akasema wakimuua wakamtupe daraja la mkapa. Kumbe anatishia kujamba wakati anaharisha!
  7. PMachage

    Anatabia zinazo kera, nifanyeje juu ya hili?

    Sasa hiyo nayo unauliza ushauli. kwa hiyo hazivui? Km anavua basi kila akivua zichukuwe uzichome moto! Au ziloweke! Acha uchafu wewe. Mi nakuona wewe ndio mchafu!!
  8. PMachage

    Nape Amlilia Roma Mkatoliki, ‘Ooooooh No!’

    Sasa cha ajabu ni nini alishajitabilia. Akatafutwe daraja la mkapa.
  9. PMachage

    Spika Ndugai: CHADEMA wakileta wale wale wakakataliwa tutabadili kanuni tuwape wengine

    Wananchi wamewachagua kwa sababu wanajuwa kubishana!!!
  10. PMachage

    Wapinzani ni wagumu mno kujifunza!!

    Ukweli utabaki kuwa palepale. Viongozi wote wa vyama vya upinzani wametokea CCM sasa itakuwaje wawe wapinzani wakati wamejifunza siasa kutoka CCM. Upinzani wa kweli utakuja kwa vijana ambao wamezaliwa wakati vyama vingi vilipoanzishwa. Mawazo mapya hakuna huko. Kipindi kilichopo ni mandalizi...
  11. PMachage

    Tanga mbali lakini nitakuja hata kwa miguu

    Kweli mkuu ni uhuni tupu. km utautaka uhuni au ni shabiki wa uhuni nenda na utaupata kweli. Ule utapeli tupu!!
  12. PMachage

    Waziri Kairuki: Serikali haitomvumilia mtu mwenye vyeti feki

    [emoji1] Kweli monawaito wakatwe kabisa
Back
Top Bottom