Ujue hata historia tunayoisoma ni wao wameandika. Ujue ubaya wote walioufanya hawawezi uandika. Waandishi wengi wa sasa wa kiafrika wanachikifanya ni kile tunakiita PARAPHRASING. lakini si kutoka na mawazo mapya yaliyotokana na ufikiri wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaambiwa wakati wa slave trade wazungu walikuwa wananunua watu. Swali nani akiyekuwa anawauzia wazungu hao.
Si wengine ni waafrika wenyewe machief wa kiafrika ndo walioanzisha biashara hiyo ya kibinadam.
Swali linalopelekea kujiuliza kwa nini Afrikans ni masikini si kingine ni...
Ukibadilika, watabadilika. Nyani ni walewale wanabadilisha misitu tu. Hatutafika sehemu yoyote kama tutaendelea kukumbatia vyama. Wenzetu wanajitambua ndio maana Ronald Reagan anasema
"America well does what is in their best interest."
Kigezo cha mtanzania kupata wadhifa lazima uwe mshirika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.