Recent content by plo lumumba jr

  1. P

    CCM inataka kumpora Mrema jimbo lake...ashitaki tena kwa spika.

    Ni zaidi ya mara mbili nasikia Mbunge wa Vunjo, Augustino Mrema akilalamika kuhusu kufanyiwa fitna na watu kwenye Jimbo lake la Vunjo, leo katika Kikao cha Bunge Dodoma amepewa nafasi tena.. kawasha kipaza sauti, kalalamika tena kuhusu anachofanyiwa Jimboni kwake. “ Mimi pale Jimbo la...
  2. P

    Prof. Lipumba ajitosa urais UKAWA

    hivi wewe si kada maarufu wa ccm hapa jamvini
  3. P

    Wasira kutangaza nia ya Kugombea Urais katika Ukumbi wa BOT - Mwanza, leo

    no t.v anatangaza nia ya kugombea ubunge au ?
  4. P

    Zitto, unatuachaje?

    itabidi jf iweke kipimo cha ulevi kabla mtu.hajapost
  5. P

    Zitto, unatuachaje?

    manu leka tutugite sijui leka nini sio maendeleo.....kuwaanzishia chama cha ACT je....si maendeleo hayo..!
  6. P

    Naondoka Arusha bila kumuona Lowassa uwanjani Sheikh Amri Abeid

    LOwasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ............ jina linaloongoza kutajwa tanzania.
  7. P

    Lowassa amtisha Rais Kikwete

    lowassa atawafunga sana yeah ts true....na soon anatema ukweli wote
  8. P

    Kwanini Warundi wanapenda kuwa wakimbizi?

    KUNA MDADA KAVAA MPAKA jezi Nyeupe ya TANZANIA
  9. P

    Rostam Aziz amekuja kumharibia Lowasa badala ya kumjenga

    nitajie huyo ambae sie fisadi ndani ya CCM
  10. P

    Kwanini Lowassa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2015

    hapa hatuhitaji utafiti wa twaweza, siku zote magazeti yamekua yakieka habari zinazo uzika front page ili kuvutia wateja ukichunguza magazeti tangia lowassa aonyeshe nia ya kugombea amekua yeye tu akiongelewa na wananchi na ku-andikwa sana ukitofautisha na wagombea wengine. observe hata hapa...
  11. P

    Kinachomsumbua Lowassa ni hiki

    CosaNostra nakuamuru useme nani kakutuma ....
  12. P

    Kura ya maoni CUF: Maulid ambwaga Kambaya

    kala pina ndio nani hapo
Back
Top Bottom