Recent content by Platformtz

  1. Platformtz

    PostGE2025 Wizara ya Afya: Video inayosambaa mitandaoni ikionesha miili ya watu Mwananyamala Hospital imetengenezwa

    Bado ipo. https://www.instagram.com/reel/DRF9gt4jR35/?igsh=YjNpY2pmMWl1OW4=
  2. Platformtz

    KERO Ajira zirudi TAMISEMI tu, huku AJIRA PORTAL ni kupotezeana muda tu

    Miaka 10 umekaa tu unasubiri ajira?. 10 years msomi wa chuo kikuu umekosa kabisa cha kufanya kweli?. Mbaya zaidi maswali ya pedagogy na educational psychology unaita Geography?. Laiti ungelijua hata ukipata hiyo kazi ni sawa na kupoteza miaka mingine 20 ama 30 ungeanza kujiongeza mapema. Yani...
  3. Platformtz

    Vyuo Vikuu 2 vya Tanzania ndani ya Top 10 kwa Ubora wa Elimu Kusini mwa Jangwa la Sahara. UDSM haimo

    UDSM imeharibiwa na siasa za JPM. Between 2015-2020 elimu ya vyuo vikuu na tasnia ya habari vilivamiwa na siasa za uchawa. Wasomi na wanahabari wakaanza kulamba teuzi kama hisani ya uchawa na upotoshaji. UDSM ikiaanza kuwa kichaka cha kulinda maslahi ya wanasiasa huku waandishi wa habari nao...
  4. Platformtz

    Kumfunga Maria jela miaka 22 kisa nyama ya swala ni matokeo ya kuwa na wanasheria waliokosa hekima na busara

    Mimi staki kuamini ni nyama ya swala pengine ni visasi vya kijamii. Miaka 22 kisa nyama ya swala
  5. Platformtz

    Wanaume oeni yatima, hamtojutia

    Kuna mayatima ni gaidi zaidi ya Hamas.
  6. Platformtz

    Spika Tulia: Tusichanganye Maadili ya Mtanzania na Imani za kidini. Lipi kosa la walimu waliosimamishwa kazi Kwa kucheza muziki? Warudisheni kazini

    Waziri Mkenda katoa majibu ya kihuni. Cheo cha Mwalimu Mkuu ni cheo cha uteuzi alafu anatamka kwamba wakate rufaa (kudai haki ipi?). Viongozi wapunguze mihemko ya kufanya maamuzi kwa kufuata kelele za mitandaoni. Mkenda ni prof ni muhimu kuotendea haki elimu yake kwa kulosadia taifa kwenye mambo...
  7. Platformtz

    Israel wanaingia Gaza mjini kati usiku wa leo

    Israel imehamisha zaidi ya robo3 ya raia wa Gaza kwa amri ya mdomo tu. Alafu mtu amekaa mahali anashabikia Hamas [emoji23][emoji23]
  8. Platformtz

    Israel yasema wamebadili mpango wa vita ya ardhini huko Gaza

    Nilikuwa nasikia tu Israel mtoa roho. Kipindi hiki nimejionea live muisrael hana mchezo na vita.
  9. Platformtz

    Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

    Wimbo upite BASATA Kwamba maudhui yake yanafaa alaf mkuu wa shule/mwl.mkuu apokee wageni (wafadhili) aanze kukagua kama wana wimbo wa Zuchu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1430] Alaf mawaziri wapo serious wanatoa matamko[emoji1787][emoji1787][emoji1430] Haki nchi hii kuna...
  10. Platformtz

    Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

    Kuna kila dalili za uhaba wa viongozi ndani ya CCM. Cheo hiki huwa kinastahili mtu mwenye uzoefu wa kutosha, hekima, ushawishi na mjuzi wa kuongea bila kuzua taharuki. Makonda vipaji hivyo hana, zaidi sana anauwezo wa kutawala. Lkn siyo mbaya kikubwa watulindie amani yetu na rasilimali zetu.
  11. Platformtz

    Je, kilichotokea ni mpango wa Waisrael? Wataalam wa intellijensia maoni tafadhali

    Hakuna kilichopangwa kilichotokea ni failure of imagination. Hivi karibuni nguvu kubwa iliwekezwa West Bank
  12. Platformtz

    Uchawi upo, wewe usiyeamini soma hapa

    Baba alifariki 1964 au 1977?
  13. Platformtz

    Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

    MBELE YA MWENYEZI MUNGU BINADAM WOTE WANATHAMANI NAAKUSUDI YAO CHINI YA JUA NDIO MAANA KUNA WENYE AKILI WENGI WANAKUFA WANAWAACHA VICHAA AMA WATU WANAOTEGEMEWA KUFA NA KUWAACHA WATU BAKI WAKIFAIDI DUNIA.HIVYO USIMDHARAU MTU ATI KWASABABU YA HISIA KWAMBA WEWE NI MHESHIMIWA.KUMBE PENGINE HESHIMA...
Back
Top Bottom