Wana Jamii Forums
Wananchi wa Kata ya sombetini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jiji Arusha wamegomea uteuzi wa aliyekuwa diwani wa kata hiyo , Ally Bananga, kwa madai ya kubebwa na chama licha ya kushindwa kwenye kura za maoni.
Muda mchache uliopita Mweyekiti wa BAWACHA...
Wakuu ninaomba anayejua software ya kuweka kwenye simu/namna ya kujua alipo mtu kupitia number ya simu anielekeze.
Mfano : mtu yuko Mara lakini anakuambia yuko Songea naomba msaada plz. Anayeijua anaweza kuniPM.
Nadhani msichana wa kazi hana kosa hapo. Ifike mahala tuukubali ukweli na tuuseme.
Kama mimi ndio nashughulikia hii issue nitaanza kuwakamata wazazi wa mtoto huyu wajieleze kwa nini miaka miwili wao hawakuwa wanafuatilia maisha ya mtoto wao? walikuwa wapi miaka yote miwili mtoto kafungwa...
Yeyoote anayejitokeza kugombea Ubunge Same Mashariki na Magharibi bila kuwahakikisha kuondoa tatizo hilo msimchague huku kwetu Mara napo ni majanga tu, sasa hivi tumepanga kuandikishiana kumaliza tatizo hili bila hivyo hakuna kupata kura.
Kikosi kazi kilichokuwa kinafanya ukaguzi wa sukari kwa wafanyabiashara wakubwa na wa rejareja jijini Tanga, kimebaini kuwapo kwa sukari nyeupe inayopaswa kutumika viwandani badala yake imekuwa ikiuzwa kwa wananchi kwa kutumika majumbani.
Sukari nyeupe hutumika viwandani kutengenezea bidhaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.