Dotto Mnzava
R I P
- Mar 6, 2014
- 864
- 427
Kuna mtu wangu wa karibu yuko Iringa ameniambia kuwa kuna Mtoto aliyepatikana asubuhi ya leo akiwa amefungiwa ndani ya nyumba (haijafahamika mara moja kuwa ndiko anako ishi au la!)kwa miaka miwili katika eneo la Kihesa Iringa.
Amesema mtoto huyo alifungwa kwa kutumia mnyororo na kufungwa kwenye kitanda cha chuma.......msichana wa kazi muhusika wa tukio.
Mtoa taarifa hajaweza kudodosa kuwa mtoto anamiaka mingapi na baadhi ya facts ambazo zinaweza kuwepo kwenye hii taarifa, ameweza kunitumia picha tu.
Mwenye taarifa zaidi juu ya hili tukio tunaomba atusaidie tafadhali.
Amesema mtoto huyo alifungwa kwa kutumia mnyororo na kufungwa kwenye kitanda cha chuma.......msichana wa kazi muhusika wa tukio.
Mtoa taarifa hajaweza kudodosa kuwa mtoto anamiaka mingapi na baadhi ya facts ambazo zinaweza kuwepo kwenye hii taarifa, ameweza kunitumia picha tu.
Mwenye taarifa zaidi juu ya hili tukio tunaomba atusaidie tafadhali.
Tukio hilo limetokea jana Iringa Mjini maeneo ya Kihesa,baada ya majirani kutoa taarifa kwenye serikali ya mtaa kuwa kuna babu anamfungia ndani na kumnyima chakula mtoto wake mwenye miaka kumi ambaye ni mlemavu wa akili.
Picha kama mnavyoiona hapo, dada wa kazi wa binti babu huyo sasa bado yupo kituo cha polisi hapa mjini kwa mahijiano zaidi.