Msisacrifice IGP na Mfumo wa usalama. Waliochochea chuki ni wanasiasa.
Kuna mmoja alisema kabisa hataki kusikia Nywinywinywi.
Pia waliotoa maagizo kwa hivyo vyombo vya usalama yaliyopelekea vifo ni viongozi wa kisiasa (wa CCM).
Waanze kutumbuana wenyewe kwa wenyewe kwanza. Na ukisha tumbuliwa...
Zaidi ya hayo, wakenya wamekuwa wakitekwa mara kwa mara na kuteswa na wakati mwingine kuuliwa.
Kura nyingi sana za wakenya zimeibwa wakati wa uchaguzi hapa Tz.
Wakenya walikua mstari wa mbele kuhamasisha maandamando Tz hata kabla ya Oct 29.
Wakenya wengi sana walipigwa risasi wakati wa uchaguzi...
Unakiri kwamba hakukua na njia za haki na kisheria katika kumchagua rais?
Unatambua "uapisho" lazima utanguliwe na upatikanaji wa rais kihalali na kwa mujibu wa sheria?
Ili rais apatikane lazima kuwepo na mambo mawili(In this sequence);
1. Uchaguzi wenye haki na kwa mujibu wa sheria
2. Uapisho...
"Nimeona kina mama warembo kweli, wanang'ara kweli, warembo na wanang'ara hii ni dalili kwamba maji yapo, walikuwa wanapauka kwasababu maji hakuna na yale machache yaliyokuwa yanatafutwa yakifika baba anayasubiri, lakini leo wanang'aa kweli."
- Dkt. Samia Suluhu akiwa ziarani mkoani Singida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.