Hivi unadhani kusambaza umeme vijijini wanavijiji wenye kipato kiduchu kwa mwaka wataweza kumudu gharama za umeme ambao mijini wanalia gharama kuwa ya matumizi kwa mwezi. hiyo service charge nikubwa saana kwa mwananchi wa kawaida pamoja na price per unit serikali wangalie upya hayo lasivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.