Huo mmea wa kwanza ambao mbegu zake hunasa kwenye nguo common English name yake ni Devil's horsewhip.
Mmea huu ni jamii ya familia iitwayo Amaranthaceae. Kwa kilatini (Latin/ botanical name) mmea huu unaitwa Achyranthes aspera.
Tafiti zinaonesha kwamba mmea huu unaweza kutumika ktk tiba za...
Hii ni chuki tu uliyonayo mkuu!
Ifike mahali watu mkubali kwamba tunatofautina mno!
Kama haukuwa vizuri darasani, basi kubali tu maana ndio akili uliyojaaliwa! Kwa nini mtu uwabeze wenzio ambao hukuwahi japo kuzikaribia tu alama zao za ufaulu shuleni! Chuki ya nini?
Mtu tangu uanze kusoma...
Asante mkuu nilipima hb vipimo vikaomesha imeshuka hadi 6.6!
Sasa natumia vidonge vya folic acid, hemovit syrup na pia natumia juisi ya lozera kama nilivyoshauriwa na daktari wangu.
Tatizo langu ni kwamba nina stomach ulcers ambazo zilibreed kwa ndani na kunisababishia kadhia hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.