Recent content by Planner12

  1. P

    Uchaguzi wa Meya Dar: Isaya C. Mwita(CHADEMA) aibuka mshindi

    Makonda lazima awe na adabu na hana mamlaka ya kuingilia uhuru wa mamlaka kamili za Manispaa/halmashauri etc
  2. P

    Uchaguzi Zanzibar: Dr. Ali Mohammed Shein atangazwa Rais wa Zanzibar

    Alijitangaza wapi au alitoa mwelekeo wa uchaguzi. acheni upashkuna nyie kuweni kama wasomi. Mbona january makamba alikuwa akitoa mwelekeo wa matokeo ya mgombea wao kwani alikuwa anajitangaza mshindi? Na alisema kwa mwelekeo huu ccm itashinda. Wapinzani wakitoa mwelekeo ni kosa lakini ccm wakitoa...
  3. P

    Mbowe: Tumechoka!

    That's immature argument
  4. P

    Ufoo Saro, kwanini uteseke na kuumia tu moyoni?

    ungesema TBC sawa. Maana hata magazeti ya UHURU, HABARI LEO yote hayaandiki habari za upande wa pili. Its really a shame.
  5. P

    Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais UKAWA-Mbeya

    Watanzania twendeni kwa amani na kila mtu apewe nafasi na fursa yake anayostahili. Mungu ibariki Tanzania Mungu wabariki wagombea wote na haki na amani vitamalaki
  6. P

    Mazishi ya Mzee Kisumo kijiji cha Ngujin Usangi, Alhamisi Tarehe 13 Agosti, 2015

    Hivi siku hizi kwenye mazishi kunakuwa na ulinzi wa bunduki?
  7. P

    Dr. Slaa hakuna kama wewe

    Kwako Dr. Slaa, Nimekufahamu kwa takribani miaka 6. Ninafahamu baadhi ya tabia zako, unavyovipenda na usivyopenda. Wewe ni mtu mzima sana kwa sasa na kila ufanyacho kinachukuliwa kuwa kimefanywa na mtu mzima mwenye maamuzi na tena maamuzi thabiti. Baadhi ya sifa ulizonazo ni pamoja na 1...
  8. P

    Kinana awaita Makapi wote waliochujwa na CCM kwenye Uchaguzi wa ndani

    Kwako Ndg. Kinana, Katika maisha ya mwanadamu ziko hatua za kukua. Utoto, Ujana, Utu uzima na Uzee. Kinana ulipofika wewe ni mzee na mzee ana heshima yake katika jamii. Katika maisha ya siasa, kuna namna nyingi za kuwasilisha taarifa au ujumbe ambapo katika kuwasilisha unaweza kuonekana...
  9. P

    Dr. Slaa: Uongo ni dhambi na siko tayari kuishiriki!

    Inasikitisha sana watu wazima kuandika uongo,uzandiki na udakuzi. Ngoma itachezeka tu
  10. P

    Kwanini Lissu, Mnyika, Slaa na wengine hawakuwepo kwenye mapokezi ya Lowassa?

    Andikeni mambo ya msingi achaneni na umbea humu na vitu vya kuhisi hisi wakubwa.
  11. P

    Rais Kikwete ndiye aliyempeleka Lowassa UKAWA

    WanaJF Ukweli ni kwamba kushindwa kwa Rais Kikwete kukiongoza chama kumepeleke upenyo wa Mhasimu wake Edward Ngoyai Lowassa kutimkia Ukawa. Binafsi naona kwamba chama hakikujipanga kwa kuwa waliyokuwa wanayasema kwenye majukwaa na vyombo vya habari hawakuvitenda. Hebu jiulize swali hili: Nnape...
  12. P

    Sikubaliani na hoja ya Lowassa Kujiengua CCM na Kujiunga CHADEMA/UKAWA

    Umeuliza suala zuri kijana lakini arguments zako bado hazina mashiko. M/kiti wenu mbowe alishasema aliyejiunga leo jana hana tofauti na aliyejiunga mwaka 2008 au mwaka 1993. Kuwa flexible. We need NUMBERS
  13. P

    Mpango wa MUNGU uliuofeli kabla ya kuanza

    Mimi ni mpita njia tu lakini ni vema unapojaribu kumchafua mtu uwe mkweli kwa kile unachokisema. Nilidhani watu huku ni CRITICAL THINKERS kumbe kuna wengine kama wendawazimu tu.
  14. P

    Mpango wa MUNGU uliuofeli kabla ya kuanza

    Mimi ni mpita njia tu lakini ni vema unapojaribu kumchafua mtu uwe mkweli kwa kile unachokisema. Nilidhani watu huku ni CRITICAL THINKERS kumbe kuna wengine kama wendawazimu tu.
  15. P

    Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

    Nimepokea ujumbe kupitia whatsapp ukisema sasa Lowassa rasmi chadema na baadae kuingia ukawa kama mgombea urais. Hii kwa upande wangu itakuwa ni historia ya aina yake na suala la kampeni litakuwa gumzo kubwa. Nazidi kujiuliza je; ccm watakuwa tayari kuona kada wao anawatesa na kumwacha aogeleee...
Back
Top Bottom