Mkuu mimi may 2025 nakamilisha miaka 4 kwenye kituo cha kazi, lakini niko mamlaka ya maji na sina cheki namba mamlaka zote hazina hizo chek na. ndo tumeanza tumepewa cheki namba za mfano za uongo uongo, wanaita dammy cheki namba, nahitaji kuhama niende TRA, TBS, eGA, TCRA AU TANAPA. Mimi ni ict...
Wakuu mimi niko Mamlaka ya maji nawafikiria sana TRA, TBS, eGA, TCRA na TANAPA ni ICT afisa, nataka nipambanie uhamisho kwenye hizi taasisi ni ICT afficer II-SOFTWARE DEVELOPER(WEB) hii taasisi haifanyi software development kabsa zote zinafanywa na eGA, naomba msaada wa kiufundi watalam ili...
Mkuu vip kuhusu mamlaka za maji kama dawasa, mbeuwasa, Moruwasa mishahara Yao vip ni shilling ngapi, na je ? Iko sawa au ni tofauti katika kila mamlaka?
Habari zenu wakuu, Napenda kujitokeza kwenye jukwaa hili kwakuwa naamini humu kuna watu wafani mbalimbali na wenye connection mbalimbali.
Umri wangu ni Miaka 29
Ni mkazi wa Dar es Salaam
Nimesoma Bachelor in computer science, nina uzoefu katika fani hizi:
-Software development (web...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.