Umeongea kitu chenye akili sana aseee, mfano mzuri tulikuwa Kwenye field juzi kuna jamaa average ya semester nne ana GPA ya 4.4 wakati Mimi nina 3.5 vyuo tofauti, lakini hakuweza kusimama na Mimi, na yeye alikiri kuwa haniwezi na vitu vingi alikuwa ananiuliza Mimi ( academically)
Huyo jovin atakuwa shetani tu, maana kuna mashetani tunaishi nayo humu humu uraiani, makazini, Kwenye nyumba za ibada yapo na mengine tunapishana nayo, yeyote mwenye nia mbaya katika maisha ya mtu ni shetani+. Dada Muombe sana Mungu, awaepushie ilo shetani sijui ni la kike au la kiume
Hata na Mimi naona wameshanidhurumu ela yangu, nilituma ela kwa namba kimakosa nikaomba idhuhuliwe, wakasema wameshaidhuia baada ya 24hrs itarudi Kwenye account yangu lakini baada ya 48hrs nikawapigia kuulizia hakuna ela iliyorudi, wakaniambia wanafanya mawasiliano na kule nilipotuma kimakosa...
Usichopenda kufanyiwa, basi na wewe usiwafanyie wenzako, hakuna anayependa majanga, Watu wamepoteza maisha, Mali zao zimeharibika lakini Watanzania pamoja na wengine wakaona watoe kile walichonacho kuwasaidia ndugu zao, kwa sababu Leo kwangu kesho kwa mtu mwingine( ila huwa hatuyaombei hayo) Leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.