Sisi huku shinyanga tulimpoteza kamanda wetu shelembi chama kikaahidi kumalizia nyumba yake na kusomesha watoto wake lakini hilo halijafanyika hata kidogo
Warioba ni mwana ccm sasa tunataka asimame jukwaa lipi? Mambo mabaya alifanyiwa na wana ccm sio ccm kwahyo ye anaumia anapoona ccm inaharibu misingi yake
Ana imani na huyu anaetarajiwa ndo maana kajitokeza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.