Recent content by pitapitapita

  1. P

    JamiiForums Tanzania Natafuta laptop ya kununua second hand

    MWENYE LAPTOP YA KUNUNUA SECOND HAND, NAHITAJI KWA SHUGHULI ZANGU ZA CHUO, PLEASE GIVE PRICE AND SPECIFICATIONS. NAIIHITAJI HARAKA Asante
  2. P

    JamiiForums Tanzania Kwako Mpenzi Natasha...

    hii ilikuwa kali, ingawa haikuwa uso kwa uso , lakini enzi hizo watu walikuwa wanajua kuji-x-presi
  3. P

    JamiiForums Tanzania Alijaribu mara 1 na sasa kanogewa NIMSAIDIEJE?

    sasa jamaa sijui atakwenda wapi, yaani shwetani kamkana, GOD THE CREATOR kamkana, uuuuuuuuwiiiii
  4. P

    JamiiForums Tanzania Data recovery site

    QUOTE=Mtazamaji;1230486]Kaka Matazamaji and Brain thanks a lot for your comments, below please see my comments Look like u re business is running very critical services. Can I take you few miles back to have a big picture of what are your real requirement. Wht have u analysed to be the...
  5. P

    JamiiForums Tanzania Data recovery site

    HI ALL I'M LOOKING FOR A COMPANY WHICH CAN PROVIDE A DATA RECOVERY SITE. I HAVE MY OFFICE WHERE I KEEP ALL THE SERVERS , NOW I WANT AN OFF SITE LOCATION WHERE I CAN KEEP THE SERVERS AND BEING UPDATED ONLINE, SO THAT IN CASE THE BASE SITE IS DESTROYED I CAN USE THE OFF SITE BACKUP TO RECOVER MY...
  6. P

    JamiiForums Tanzania save youtube video to your computer

    if you are using mozilla firefox, windows xp follow the pathe 1. <drive>:/Documents and Settings/[profile account name]/Loca Settings/Application Data/Mozilla/Firefox/Profiles/et9aueyn.default/Cache/ where <drive>: is your local drive , eg c: [profile account name]: user name u are using to log...
  7. P

    JamiiForums Tanzania Nauliza kuhusu talaka na kugawana mali kisheria

    Wandugu asante sana kwa yote. ila, safari imeshaanza sirudi nyuma, asanteni kwa yote nitafanyia kazi la kila mmoja, na kupata shulihisho. kakakiiza, nitapita vile vile mlango wa pili.
  8. P

    JamiiForums Tanzania GE2010 Bunge mix , - na bado

    Kwa ushindi huu, natamani vikao vya Bunge vianze kesho!!!! Hili ndilo Bunge la mseto wa ukweli. &#8230; Vijana, Wakulima, Wachungaji, Wanawake, Wafanyibiashara, Wazee, Wanaume, Wanamuziki, Wanataaluma, Mafisadi, Waganga, Waadilifu... yaani ni fulu mixi! 1 Ubunge Tanga - Omar Noor...
  9. P

    JamiiForums Tanzania Jukwaa hili limekimbiwa walaih

    Ha ha ha haaa, haya jamani tusiwe wageni wa nchiiiii hiii, tukutane baada ya kumpata raisi. Kidogo kidogo, tusizame sana kwenye siasa
  10. P

    JamiiForums Tanzania Nauliza kuhusu talaka na kugawana mali kisheria

    mie nimeachana na mke wangu, lakini wakatu tuanakutana miaka 8 iliyopita nilikuwa na nyumba na shamba kubwa tu, baada ya mambo kutokwenda vizuri, tuliamua kuachana. huyu mama tulionana bomani. sasa alikwenda mahakamani kudai haki yake na mahakama ikaamuru kila kitu kiuzwe na angawiwe asilimia...
Back
Top Bottom