Wanawagandamiza watanzania kwa kuwalipa malipo yao ni madogo na data collector hawalipwi kwa wakati.
Tafiti yao ya uongo ni kama SPEC ambayo wanaiita SHADA ambayo inabashiri hali ya siasa hapa nchini ni ya uongo mtupu kwani wanaokwenda kufanya hiyo kazi wanalipwa budget ndogo sana hivyo...
Huyajui maisha binafsi ya mbowe wewe kuku, habari yako yenyewe haieleweki.
Unapoandika kitu unatakiwa uwe na data za kutosha.
Ninachofahamu mimi mbowe ni kiongozi makini anayeongoza taasisi makini inayopigania maslahi ya watanzania na kiongozi jasiri na mzalendo wa kweli wa hili taifa.
Katika zoezi la kuhakiki na kupiga picha za vitambulisho vya taifa katika kata ya MAKURUMLA imekuwa ni kero kubwa afisa uhamiaji mmoja anahudumia wananchi zaidi ya mia tatu katika foleni moja hii siyo sahihi ni usumbufu mkubwa sana.
Kata ya MAKURUMLA imekuwa na kero kubwa sana katika hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.