Takribani kwa miaka zaidi ya kumi (10), kampuni ya wakenya inayofanya tafiti hapa nchini Tanzania IPSOS-SYNOVATE, imekuwa ikizidi kulalamikiwa kwa report zao za utafiti ambazo hazina ukweli na hali halisi ya Tanzania, sasa sisi kama raia wenye mapenzi na taifa letu tunachukua hatua gani kuhakikisha hii kampuni inafungiwa kufanya kazi nchini maana report zao ni useless kwetu...., Suluhisho la awali ni kukataa kuhojiwa pindi wanapopita kutuuliza maswali 10% kati ya maswali 100% wanayostahili kuuliza kwa kila dodoso la kila muhojiwa.
Mbona kampuni ambazo zinafanya tafiti zao kwa kufuata kanuni na sheria zote za ukusanyaji wa data toka kwa wananchi hapa nchini report zao huaminiwa na kutumiwa na sector mbalimbali kimaendeleo mfano REPOA, IHI, NIMR, ESRF, REDET, AC NIELSEN kamwe haitatokea report ya data zao zikakataliwa maana huwa ni sahihi.
Mbona kampuni ambazo zinafanya tafiti zao kwa kufuata kanuni na sheria zote za ukusanyaji wa data toka kwa wananchi hapa nchini report zao huaminiwa na kutumiwa na sector mbalimbali kimaendeleo mfano REPOA, IHI, NIMR, ESRF, REDET, AC NIELSEN kamwe haitatokea report ya data zao zikakataliwa maana huwa ni sahihi.