Kama wanavyosema ''mbecile trova un atro mbecile'' kwenye hoja hii Lowassa ameingaje? Kwani ukiwa mwana ccm ndo kujitoa ufahamu? Manake unarukia hoja ambazo hazina muungano kabisa! Pole sana!
Hahaha, kumbukumba zako mbovu.... unamkumbuka Kitwanga? Mpaka sasa dunia inashuhudia kuwa watanzania wote walioimaliza nchi hii na wanaotumbuliwa na baba Jesca ni hawa hawa (ccm). Hawa ndiyo wanaopigika!
Hahaha! Viongozi wa Tanzania bhana, Mwakyembe bhana. Hovyooo! Sasa anachoongelea nini hapa?
Kama kanuni zinamruhusua na kama naibu speaker amememruhusu … haya mambo ya kuwa nje au ndani yameingiaje? Kama kanuni haikumruhusu kwa nini naibu spika amempa nafasi ya ya kutoa hotuba? Hiyo ndo hoja...
Namkumbuka Marehemu Mbunge Filikunjombe! Ndiyo mbunge pekee wa ccm aliyeipenda Tanzania... wengine wote ni wachumia tumbo tu. Kwenye upuuzi huu wa naibu speaker ... Deo angekuwa kwa wapinzani (kudai ang'olewe)!
Eti wahanga wa uchaguzi? Kivipi? Huyu unayemwita fisadi Mamvi kaingiaje hapa? Huyu Mamvi ndiye aliyepanga hii programa ya watoto hawa? Mamvi ndiye aliyeratibu na kuwapokea watoto hawa? Mamvi ndiye aliyetathmini viwango vya ufaulu wao? Au wewe na baba Jesca mnataka kutuaminisha wazazi kuwa watoto...
Mbali na wabunge hawa wa ccm kuwa vihiyo, pia ni wanafiki, lakini zaidi ya yote wanajua kuwa usipokubaliana na maamuzi ya chama, ubunge utaota nyasi baada ya kwisha miaka mitano ya ubunge.
Haya ni matatizo yenu - kwani mkisali Jumapili Mungu hasikilizi maombi yenu. Ua mnadhani kuwa Mungu analala Jumapili? Mbona wengine wanasali Ijumaa - tena siku ya kazi! lakini wapo Kimya!
Chris Lukos, Christ Lukos, katika dhambi hii mimi simo. Kama umeamua kuwadanganya watanzania, anzi, kama umeamua kuwadanganya wana ccm wenzako… fanya utakayo hakuna mtu atakayekuzuia.. lakini kama utaamua kuzungumzia ukweli… ndani ya moyo wako unajua kuwa unadanganya. Naamini kuwa unawadanganya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.