Huyo mwanaume hapana kwakweli, mwambie naweka mtu dukan naenda mkoan kufanya kazi.
Ni bora angekuzuia kufanya kaz km anakuhudumia, jisimamie. Ni mbnafs na anajipnda yy na ndugu zake. Mtu wa ivo n nyoka hta maisha ya ndoa utateseka sana.
Heri kuvunja uchumba kuliko ndoa ya mateso na majuto
Ujumbe wako umegusa maisha yangu, nmesalitiwa na mtu nilie mwamini sana.
Najiona sina thaman tena, nmekonda km mti, machozi kila wakati maumivu makali moyon, kila siku yanazd. Yeye na mtu wake wanazd kupeta. Ndoa imekuwa chungu ctaman kuish,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.