Acha ujinga. This theory doesn't apply to Tanzania. Ukiaminiwa Ukifanya ujinga utanyolewa tu. Mbona hiyo principle hamu apply kwenye ndoa zenu kila siku zinavunjika? Magufuli songa mbele watu kama hawa wamekariri vitabu vya ulaya. Shiiit
Wewe mpk sikujua kama wewe ni kimeo. Yani unataka rais afanye jambo hilo hilo mwaka mzima? Hujui kuwa kuonyesha mfano ni tija ili wengine waendeleze? Usiku mwema ngoja nikiamka kesho nitakupasha vizuri zaidi
Naunga mkono hoja. Taifa hili limekuwa fujo tupu kila kona kanisa na matarumbeta usiku kucha. Hivi hakuna sheria ya makelele? Huwezi kuta vitu kama hivi nchi zilizoendelea eti kwa kusali kwako unakwaza wengine wasilale usingizi. Mimi mkristo lakini siamini katika fujo, kelele na kuwa kero kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.