umejitoa mhanga haswaa, haya ujaaliwe kupata utakacho, ila tu kama ukimpata hapa nakushauri usiwe gwiji wa kuvua chupi na kiacha kikojoleo kichezewe kirahisi uwe makini sana mdogo wangu baadhi ya wanaume ni njaa tu zinawasumbua , ukimpata atakaye ridhika na wewe nawe ukaridhika naye basi afate...
Kwanza nikupongeze sana mkuu kwa hatua muhimu za kujikomboa kimaisha na pia utumwa wa presha za kuajiriwa, kimsingi huwa kuna njia nyingi tu labda nikwambie mbili kuna moja ya kutumia chemli unazifunga vema na kuziacha ziwape joto hivyo mafuta ya taa yanahitajika njia nyingine ni kuweka jiko la...
Singida wanajitahidi sana kwa ufugaji wa kuku wa kienyeji nadhani kwa wenyeji wa mkoa kama dodoma wangewekeza VIZURI kwa ufugaji huo wangekua na fursa kubwa sana pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.