Simnyanyapai ila mrudishe kwao.Siyo kila jibu lazima liwe na sababu huu siyo mtihani ila tu mrudishe kwao huyo ni binadamu na unajua binadamu tulivyo wengine ni roho mbaya kweli kweli na unajua maisha yalivyo hamuwezi kuwa sawa kila siku kuna siku unaweza kumuudhi au akakuudhi wewe reaction...
Tofautisha kati ya NHIF ya JPM na ile ya JK na watangulizi wake, leo jitu linaongezewa kalaki tu linapiga kelele kama zuzu linasahau kila kitu. Wabongo ni bongolala kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.