Aliekupa ww usafiri ndio huyo huyo aliemnyima mwengine tafuta cha kuongea hizo za kwako ni zarau maisha hatufanani
Pia usimcheke mamba wakati hujavuka mto huwezi jua Mungu kakupa mali kukuangalia tu utashukuru utakufuru, hatima yake unakufuru mrudie mola wako
Cost ya vifaa inategemea na ulipo vinauzwaje huko unapoishi
Vifaa kwa kuanzia uwe na
computer et list HDD 1TB
Hot air gun
Gun
Digital multimeter
Tools
Ukiungwa na group utazidi kujua ni ni nn na nn vyengine vyakuwa navyo
Kwa anae hitaji ufundi wa simu anione soon class itaanza smartphone na zile za Batan ppt ulipo class itakufika na ufundi wa simu una pande mbili hardware na software
Hardware ni repair ya divice yenyewe simu haiwaki imeingia maji, kubadilisha kioo, kutoa IC nakujua njia za kujua ttz ktk simu...
Mkuu kozi hizi zinafanana ila ndani ya kozi hizi kuna categories tofauti ikiwe website design, programming, network, n.k ila ukisoma kozi huwezi kuwa proffenal moja kwa moja nakushauri tafuta kimoja kati vitu vilokuwemo ktk IT au ICT ukasome km ni
CCNA networking
IT essentially
Website design...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.