Recent content by pilimichuma

  1. P

    Natafuta girlfriend

    Naitwa devi nafanya kazi katika kampuni fulani..natafuta girlfriend,number yangu ni 0657-336773
  2. P

    Natafuta mpenzi

    Naitwa devi,natafuta mpenzi(girlfriend) kati ya miaka 18 hadi 30. Nina kazi na najitegemea number yangu 0718949593,ni beep nitakupigia.
  3. P

    Call for Interview-Serengeti Brewery(Graduate Program)

    ndio nini wadau,ina maana hi tofauti na zili za position za graduate trainee..? msaada wadau ili nijue kama wamenitosa
  4. P

    Jua mambo muhimu wakati wakufanya tendo la ndoa ( kwa wanene tu )

    Mmoja kati ya wanasayansi maarufu hapa duniani amegundua kuwa watu wanene wanapata raha zaidi katika tendo la ndoa ukilinganisha na watu wembamba. Mwanasayansi huyo aitwaye Dr. James Watson ambaye amekwishawahi kushinda tuzo za NOBEL kwa ubingwa wake ulipelekea ugunduzi wa muundo wa...
  5. P

    Je wajua kwa nini wanawake wengi awapendi kutumia condom

    mkuu hatari,inabidi kupimana kwanza
  6. P

    Je wajua kwa nini wanawake wengi awapendi kutumia condom

    Heshima kwenu brothers and sisters,, Safari yangu ya Angaza inavyozidi kukaribia some Bad memories zinarudi kichwani zinazoninyima raha sana na sana... Zaidi ya mara kadhaa ya relation ship nimegundua Wanawake ndo watu wa kwanza kupinga matumizi ya mpira baada ya muda fulani wa Relationship...
  7. P

    Mtazamo juu ya kuoa na kuolewa mara baada ya chuo

    Nadhani kila mtu hasa wasomi (wahitimu) wanandoto za kuoa na kuolewa labda na msomi mwenza au raia mwingine tu wa kitaa (BIG UP). Napenda kutoa mtazamo tu juu ya hili, usikurupuke na kufuata mkumbo wa wengine, itakula kwako. Fanya hili….tenga kipindi labda 2-3 years au zaidi ukiweza na...
  8. P

    Simuelewi kabisa huyu mdada!

    dada chaga iyo kali
  9. P

    Niliolewa na jini bila ya kutarajia 1:

    NILIOLEWA NA JINI BILA YA KUTARAJIA 2 Akanivuta mkono kisha akatoa kitu cha ajabu kilichofanya nishtuke. Nikajikuta jasho jingi likinitoka pale kitandani, nikawa najiuliza kuwa ni ndoto ya aina gani na inamaanisha kitu gani? Je huyo mwanaume mzuri sana kushinda Sam wangu ni nani? Hapo ndio...
  10. P

    Niliolewa na jini bila ya kutarajia 1:

    Ilikuwa kwenye mida ya saa mbili usiku wakati tumekaaa kwaajili ya chakula cha usiku. Wakati nakula simu yangu ikaita kuangalia mpigaji ni mpenzi wangu Sam ila nikashindwa kunyanyuka kwenda kupokea kwani mama alikuwa ananiangalia sana ikabidi nibonyeze kitufye cha kimya (silence). Mama kumbe...
  11. P

    Natafuta rafiki wa kike

    Natafuta marafiki wa kike,kwa kubadilishana mambo mbalimbali kuhusu maisha na vitu vengine...number yangu 0763277598
  12. P

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    jana niliweka laki moja chelsia wanashinda nikapata laki nne na nusu iviii...niliweka mechi moja thanks chelsia na meridian..weekend itakuwa nzuri xanah
Back
Top Bottom