Recent content by Pilim

  1. P

    Marehemu hasemwi vibaya: Watu wapinga vikali salamu za Rais Magufuli Juu ya kifo cha Rais Nkurunziza

    Kazi amefanya, mwendo ameumaliza. Apumzike kwa amani.
  2. P

    Halima Mdee akamatwa na Polisi kwa tuhuma za uchochezi dhidi ya Serikali, ahojiwa na kunyimwa dhamana

    Yeye ndo huwa anakuja kukusanya kodi huko kwenu? kodi wakusanye wengine matatizo upeleke kwingine we kichwani ukosawa kweli?
  3. P

    Je, Afrika ifuate Mawazo na njia ya nani kati ya Lissu na Magufuli?

    Hapana, lakini vision iliyonayo inanufaisha watu gani? Unaweza kuniambia kwanini serikali imezuia mapato yanayo tokana na madini kuhakikiwa na CAG? Wanaficha nini kama kweli mapato hayo ni kwaajiri ya kumsaidia mwananchi?
  4. P

    Tetesi: Idadi ya wabunge kupunguzwa

    Jmbo la pili, ni kutenganisha uwaziri na ubunge, waziri asiwe mbunge ili bunge liweze kuwa huru kwa kiasi kinacho takiwa!!!
  5. P

    Rais Magufuli ngoja nikuoneshe eneo jingine la kukusanya kodi

    Mbona zamani tulitambuana kwa receipt ya malipo?
  6. P

    Rais Magufuli ngoja nikuoneshe eneo jingine la kukusanya kodi

    Hakuna sababu ya kuingia hasara ya kutengeneza vitambulisho ambavyo vinaweza kupelekea rushwa kuongezeka, mshauri arudishe kodi ya kichwa TZS 20000 KWA MWAKA! watu waanze tena kulala mapangoni!!!
  7. P

    Rais Magufuli ateua Majaji 6 wa Mahakama ya Rufani na Majaji 15 wa Mahakama Kuu. Ateua DC wa Mwanga na Tarime

    Kwa njia hii ya rais kuteua viongozi au majaji wa mahakama tuanasemaje mahakama ni huru? kwanini hawa majaji wasiwe wanateuliwa na jaji mkuu?
  8. P

    TANZANIA NA MAENDELEO, TUNA SAFARI NDEFU

    Mtu anakwambia msema kweli ni mpenzi wa Mungu! harafu anadhubutu kusema tume ya uchaguzi ya nchi hii ni tume huru! kweli!!!
  9. P

    TANZANIA NA MAENDELEO, TUNA SAFARI NDEFU

    Hakuna namna yoyote ya kupata maendeleo bila kuwa na uongozi bora! nasema hivi nikiwa sina maana ya kwamba uongozi uliopo si bora! Lakini mwaka na miaka ambayo tutapata kiongozi amabaye atatusaidia kuyafanya haya; 1. kuimarisha mifumo yetu ya kiuongozi. yaani Serikali, mahakama na bunge kila...
  10. P

    Malisa: Kuhusu Hardtalk sikutaka kusema lolote kwa sababu alichokifanya Lissu hakuna mwanaCCM yeyote anayeweza kufanya

    There you are! hawawezi kujua haya, maana yamefichwa kwao wasione!!!
  11. P

    Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

    Nashukuru umenisaidia kwa taarifa! nimeweza kusikiliza mwenyewe! machachenayoweza kusema!! 1.assassination attempt! inamaana mauaji ya Lisu yaliyotaka kufanyika niyakisiasa, hili linakubalika kwa pande zote, Lisu na Steve! kama ndivyo hawa wenye mgogoro wa kisiasa na Lisu kwa kiwango cha kutaka...
  12. P

    Tundu Antipas Lissu on BBC HARDtalk - 21 January 2019

    Kwahiyo ulitaka wakati Mh Tundulisu anapigwa lisasi achukue video kama ushahidi!!! Hivi kunamtu anahitajiushahidi wa watu kuuawa amakupotea TZ? Serikali ndiyo yenye dhamana ya kulinda watu na mali zao, kama imeacha ombwe lakutoa ama kufanya uchunguzi juu ya uovu hii lawama abebe nani?
  13. P

    Ushauri: Zitto Kabwe aongezewe ulinzi

    Kwa hiyo kama ni kwamaslahi ya umma, mtu yeyote anaweza kujiamulia kutumia pesa za wananchi!!! umetoa hoja dhaifu sana!
Back
Top Bottom