Recent content by pikachu

  1. pikachu

    Vichwa vya habari miaka mitano ijayo na kuendelea

    Umesema miaka 5 sasa 2054 ni miaka 5 hiyooo kweli ama unaotaaa mchana na kweupe
  2. pikachu

    Bro Mchechu wa NHC, Majumba unayojenga una uhakika utapata wateja?

    Ninfefurahi zaidi endapo wahindi wote wangeshuka ktk national housing wakapange ktk apartment wajengazo wahindi wenzao ili walipe kwa izo dola na sie wabongo ndio tukae ktk uzo national housing
  3. pikachu

    Ukaguzi wa vibali vya ajira kwa wageni kuanza

    Mm naona kuna umuhimu wa kuweka customer care ya serikali ya simu kama ile ya airtel au vodacom au tigo tuwe tunapiga muda wowote mambo yawasilishwe wiazara husika ili waziri ajue anaanzia wapi anaishia wapi awe na full info
  4. pikachu

    Kikwete akagua Mradi wa Maji!

    Naombeni mumuache mzee wangu afanye kazi zake. Hapa kazi tu nae anatekeleza si kaenda kukagua tatizo liko wapi kwani?
  5. pikachu

    Naomba kujua historia ya Urusi

    Wakimwekea vikwazo anapandisha bei ya gesi na vijinchi visivyojielewa futa upepo anafungia kabisa. Wanakuwa wanamsumbua mama wa watu wa Ujerumani kwenda kuomba mara kwa mara kwa Putin. Ukiwa nacho unalinga sijui tu sisi Tanzania tunashindiwa nn kuja kupigiwa magoti mali zote tulizonazo
  6. pikachu

    Kikwete akagua Mradi wa Maji!

    Mbona mnamsakama sana mzee wangu kawakosea nn wadungu?
  7. pikachu

    Naomba kujua historia ya Urusi

    I like that man to the maximum in whether he is doing. Is right for Wish angekuwa raisi wa TZ
  8. pikachu

    Naomba kujua historia ya Urusi

    Find the book called THE RISE AND REIGN OF VLADIMIR PUTIN
  9. pikachu

    Makampuni ya simu yapigwa faini kwa kukiuka

    Kuna kitu inaitwa Erolink inaboa sanaaaa. Ni jibu lililoiva na linahitaji kutumbuliwa. Linanyonya sana vijana wagundu anaeweza fuatilia hilo ajaribu fuatilia wapo voda
  10. pikachu

    Wizi mpya Bandarini: Makontena 11,884 na Magari 2,019 yapita bila kulipa Ushuru, Polisi waanza Msako

    Nashaur ile floor ya mwisho ya TPA apewe wazir wa uchukuzi ndo iwe ofisi yake paleeee.
  11. pikachu

    Naomba kujua historia ya Urusi

    Siku ambayo huyu rais wa urusi wa sasa Vladimir Vladimorovich Putin akifa wamarekani na washirika wao watafanya sphere he. Ni umiza kichwa kwao sana, namkubali sana huyu jamaa
Back
Top Bottom