otesha mti mwenyewe palilia acha ukue ukiingiza mizizi kwenye baraza ya nyumba yako kaa vikao na familia angalia namna ya kuufanya kwa natarajio utarekebika mhuuuu......
Hesabu ndogo. Waislamu wafanye sensa yao wenyewe na wakiristu hivo hivo wasio na dini wafanye waongozwe na wanaharakati then kila upande uwe na jibu lake kwa matumizi yake. Ila isiwe serekali tafadhali.
hivi mkikataa kuhesabiwa itasaidia nin Kesho kila dini itattaka watu wake wahesabiwe baada ya hapo tutaanza kutambuana kwa dini zetu kitu ambacho si vema. leo hii tanzania invita ya wadhulumu uchumi ambao hadi leo wanailetea nchi shida eg migodini, umeme,maliasili etc. nyie nduguzetu mnaleta...
Tumefanya juhudi za chinichini kupambana na serikali na kanisa hadi hapa tulipofika.
Hapa tulipo leo ni safari iliyotuchukua miaka 40.
sawa yamkini hizo ndizo jitihada za kuchoma makanisa na uamsho.
Yaani kama sio hizo taasisi nchi hii ingekuwa na kazi kubwa kujijenga Angalia MASHULE NA MAHOSIPTALI WALIYOJENGA NA KUIACHIA SERIKALI.PIA BIANAFSI SIKUONA WALIPOKOSEA TEC KUITAHADHARISHA SERIKALI NA MAMBO YALIOTOKEA. LAKINI PIA TEC HAWAKUSEMA NI CHAGUO LA MUNGU NA HAWATASEMA HIVO KWA YEYOTE AJAE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.