Recent content by Pierre Mbonimpaye

  1. P

    Sasa Kigoma Kabingo Kasulu hadi Burundi ni lami tu lakini ni baada ya Rais Samia kutoa TZS800bn

    Kwa Sasa eneo Hilo ni lami ,Kwa ufupi Sasa hivi kigoma to mwanza ni lami TU. Kigoma to dar zmebaki chini ya kilometer 10 ambazo mkandarasi anamalzia . Barabara iliyobaki ni kasulu to uvinza ,hiyo mama akiahidi katka muhula wa pili kura yangu anayo
  2. P

    Maendeleo kwa usawa wa kikanda

    Kuna mambo ni juhudi za watu binafsi na zingne ni za serkali ,hebu fikiria Kama kuna barabara imejengwa na watu wa Kanda huska au hospital ya Kanda Maajabu ni kwamba Kanda Kama ya ziwa kuna hospital ya Kanda ya Bugando(50% serkal 50% Catholic) bado saiv imeongezwa musoma na chato ;afu wanasiasa...
  3. P

    Maendeleo kwa usawa wa kikanda

    Nimekuwa nikitafakari ile kauli ya viongozi kwamba maendeleo yanapelekwa kwa usawa katka mikoa yote bongo lkn naona Kanda ya Ziwa Magharibi imeachwa mno haswa katika taasisi na miundombinu Kama ifuatavyo 1. Barabara: Hii ndio Kanda pekee mikoa haijaunganishwa kwa lami ie...
  4. P

    OMBI: Serikali iikumbuke mikoa ya pembezoni hasa Kigoma. Hali ya barabara na umeme siyo nzuri

    P Pamoja na miundombinu hiyo ,tunahitajika kujenga nyumban ili kutia chachu ya mabadiliko kuendana na wenzetu wa kili na kagera
  5. P

    Mkoa wa Kigoma kukusanya 10 bilioni kwa mwaka ni aibu

    Hakuna haja ya kukusanya mapato coz mkoa wenyewe maskini 50%,tunaelekea wapi na kizazi kijacho sijui watajivunia lipi juu yetu .I regret for Kigoma to be part of Tanzania
  6. P

    Diamond Platinum aziponda Hotels za Mbeya

    Akija kasulu ,halali kasulu analala Kigoma,lake Tanganyika hotel(4 star hotel) ambayo najua mbeya hakuna coz mi mwenyewe nko mbeya Rufaa juu ya solo matola
  7. P

    Ukweli kuhusu Arusha City Vs Mwanza City

    Mwanza ndo best kwa kigezo cha mandhari yya mji.Arusha ilitakiwa kuwa municipality sio city
Back
Top Bottom