wasomi huwa tunaamini kwa kufanya tafiti hebu tuwekee tafiti uliyofanya kuonyesha dr wa ukweli amechuja lasivyo unajifariji tu na kufanya siku iingie hapo lumumba
Namkubali zaidi dr slaa ila kama taratibu za kumpata mgombea zitakuwa za haki na akasimamishwa mtu mwingine mimi nitamkubali tu kwasababu lengo kubwa ni kuing'oa ccm madarakani na kwa hili tunapaswa kuwa makini tusimbague mtu yeyote atakaye simamishwa na UKAWA
Ocampo four unapoteza muda tu huyo jamaa yako ugomvi wake mkubwa na Nyerere ulikuwa utajiri mkubwa alionao Lowasa usiojulikana vyanzo vyake vya mapato na mpaka leo yupo hivyo ni fisadi la kutisha nakumbuka alipokuwa waziri mkuu alivyotukamua michango ya kujenga shule za kata huku yeye na jamaa...
Nakweli mi simsahau maana dada yangu pamoja na kuwa mjamzito lakini alikamatwa na kuswekwa kolokolo kwa kutotoa mchango wa ujenzi wa shule huku yeye wakati ule ndo dili lile la richimond likiwa limekolea huku akisaka dili lingine la kutengeneza mvua kutoka Thailand ila Mungu alituokoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.