Jamani kuna yoyote kaangalia tbc mda huu nasikia ajali bilali kova wapata ajali walikuwa angani wanaangalia maafa hakuna aliekufa ni kuumia kiasi jamani is it true?
Dahhh miundo mbinu yetu ua kusua sua uchakachuaji mwingi sehemu ya madaraja lzm pawekewe mkazo na kujengwa tofauti daraja lzm liwe juu zaidi ya barabara ya kawaida magari yawe yanapanda na kushusha kuepusha maji kulifikia ....poleni sana!!!
Excel......ikitoka kimahaba inanogaga sometimes poleeee....thank you nini nakshi tu na mbwembwe pata picha mpz yuko kifuani kalalia kifua we ndio unahema na moyo kudunda hatari anakupa poleeee alafu anakusafisha how will it feel .......inapendeza sanaaa ...wazee wetu zamani walikuwa.wanatumia...
Na pole sometimes inatokeaga pia unakuta ile strugle ya raha ile mpaka unafika ukimaliza mtu anahela miguno na jasho juu sometimes inatokea ile pole ya kimahaba poleeee.......!!!!!!!huwaga ni vionjo tuu
Thanks hunie mala.nyingi yahusika kwa wote wawili ...asante ni matokeo ya raha uliyompa pale mnapofika kwa kilele cha mlima and ur happy automatical unajikuta unasema thank you darling....ur amaizing......!!!!!
Mhhhh aisee sijui hata kafanya nini...ila wanawake mda mwingine tunakwaza unaweza kukuta jamaa anakupa kila kitu unachotaka lakini unaigawaje nje kama pipi utakosa kupigwa
Ni kweli mimba zinavituko mtu anaweza kukuchukia haswa .....ila pia kunawengine wanatake advantage kama uliwahu kumtenda au kumfanyia kitu tofauti weeee hapo ndio revenge time....nashauri ongea nae kwanza kama hatobadilika mueleze ili kunusuru mahusianobyenu basi arudi nyumbani mpaka akijifungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.