si atakuwa ashakonda mpk ajifungue kwa vituko hivyo duh!,biinafsi ningerudi zangu huko kazinii alikokuwa jamaaaEndelea kusubiri ajifungue,
Baada ya hapo Utaona tofauti sio shetani na wala sio kibuti.
Hali hii imenichosha nime jaribu kuomba ushauri kwa madaktari wengi wananiambia ni ujauzito tu siku moja yataisha yote lakini sasa ni too much .
yameniingia haya
huyu dokta aliyekushauri hivi ni nani?............ hii kitu kidaktari sijaona vitabu vyake.
halafu kuwa makini sana , nahisi hiyo mimba ulivyolazimishwa na yanayotokea inawezekana siyo yako.......... mwenye
nayo aliitosa mwanzo ila kwa sasa ameikubali na ndiyo chaguo la huyo mwanamke wako.......
Chunguza kupata uhakika na mambo yako.
Pole sana wangu mm mwenyewe yamenikuta kwa mke wangu alivyopata mimba nyumbani kulikuwa akukaliki kabisa wangu makosa yote ya dunia nafanya mm lakini alivyojifunguwa tumerudi kama zamani vumilia tu wangu