Ikiwa inakaribia kuisha week sasa tangu msiba wa aliyekuwa mgombea wa ACT WAZALENDO ndugu Estom Malla jimbo la Arusha kuisha yamekuwepo maswali yasiyo na majibu kuwa Malla alikuwa mgombea na wagombea wenzake wote walifika kuhani msiba na kushiriki mazishi huko Moshi.
Ila mgombea wa CHADEMA God...
ndugu zangu wana ukumbi naomba kuuliza kuwa aliyelazwa pale muhimbili ni mwenyekiti wetu wa ukawa au ni mgombea wetu wa ukawa ?
nasikia ratiba yetu mikoani imebadilika mgombea anaenda kutibiwa kwanza Ujerumani akija ndiyo kazi ije iendeleee
kama ni kweli mgombea wetu ukawa anaugua ugua mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.