Niliomba nafasi ya masomo chuo kikuu huria mwaka uliopita kwa nafasi ya masters na Mungu alivyo mwema nimepata nafasi.
Tatizo nimekosa orientation nimekosa pia uwezo wa kujiunga kwa Sasa kutokana na matatizo yaliyonikuta mwaka uliopita.
Naomba mwenye ujuzi naweza kupostpone japo sijajua hatua...
Leo nimemsikia wife akiongea na boss wake namna alivyokuwa anamjibu kwa heshima may be hapa nyumbani pangekuwa hata robo tu ya anavyoongea tungekuwa Bora Sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.