Recent content by phojamhone

  1. P

    Rais Kikwete amteua Prof. Mussa Assad kuwa CAG mpya akimrithi Ludovic Utoh

    Inaonekana atastaafu mwakani kabla hata raisi hajamaliza muda wake, JK ni noma kwa fadhila. Namkemea anayeendekeza mambo ya udini kwa nguvu zangu zote
  2. P

    Mke wa ndoa akimjibu mumewe hivi baada ya kuulizwa kitu, inaashiria nini?

    Nadhani niliweka wazi umbali alipo mume wake kikazi kutoka nyumbani ambapo nilitaja kilometer kadhaa, alimuaga vizuri ya kuwa ni nini anaenda kufanya kwa maslahi ya familia na kumsindikiza vizuri tu mpaka stand. Kwa alichouliza huyo bwana ni kwanini aende kulala msibani bila taarifa na kuacha...
  3. P

    Mke wa ndoa akimjibu mumewe hivi baada ya kuulizwa kitu, inaashiria nini?

    Kwakweli japo ni mara yangu ya kwanza kupost hapa, nimeridhika na mitizamo yenu mipana wote mliochangia kwenye suala zima la mahusiano. Ila ni nini kifanyike sasa ili jamaa yangu aweze kunusuru ndoa yake kwa maslahi mapana ya familia yake hususani watoto.
  4. P

    Mke wa ndoa akimjibu mumewe hivi baada ya kuulizwa kitu, inaashiria nini?

    Ndugu zanguni wanajamvi, nakuja hapa kwa jambo lililomtokea rafiki yangu live, kwanza natanguliza salamu. Rafiki yangu kamwoa mwanamke wa kabila tofauti na yeye, mke wake mara nyingi anapenda kwenda nyumbani kwao ambapo ni kwa mama yake mzazi na kwabahati mbaya baba yake alishafariki. Kimsingi...
  5. P

    Dawa ya erecto - 20mill, 50mill na 100mill, je zinachelewesha kufika haraka?

    Funguka mkuu, kama unataka kuwaa.......kwa ipi ya 20mm, 50mm au 100mm
  6. P

    Dawa ya erecto - 20mill, 50mill na 100mill, je zinachelewesha kufika haraka?

    Sawa mlendamboga, ila hujaeleza ni mills zipi zenye madhara, kwani zinaanzia 20, 50 na 100. Ni ipi ulijaribu wewe
  7. P

    Dawa za kurefusha na kunenepesha uume na njia mbadala

    Dawa nyingine jamani majanga, Za kuambiwa achanganya..........!
  8. P

    Dawa ya erecto - 20mill, 50mill na 100mill, je zinachelewesha kufika haraka?

    WanaJF ambao mmeshawahi kutumia vidonge hivyo, naomba kujua kutoka kwenu kwa maslahi ya wengi kama ni kweli unaweza kuchelewa kwa kutumia hizo. Pili, haina madhara kwa afya? Nilisikia tu kutoka kwa vijana waliokuwa wanaizungumzia kijiweni. Pia nimeileta hapa baada ya kuona post nyingi...
  9. P

    Naombeni ushauri jamani

    Si kakwambia sory! Msamehe, unasubiri nini, mpaka uombe ushauri jamani
  10. P

    Nimeshindwa kufanya mapenzi

    Ni hali tu hujitokeza ukipania sana, punguza kumtamani kidogo
  11. P

    CHADEMA wanaua vipaji vya siasa kwa Vijana, Yu-wapi James Ole Milya na Bananga

    1. Ccm kudharau maoni ya wananchi kwenye rasimu ya tume ya Warioba. 2. Kupaaa kwa deni la taifa ambapo sasa hata mtoto aliye tumboni anadaiwa shilingi 400000 3. Wizi wa fedha za walipa kodi kupitia Escrow akaunti 4. Utawala mbovu nawa kidhalimu usio heshimu haki za kiraia na kidemokrasia...
Back
Top Bottom