Achana nae mwanamke akianza kugawa nje ni sawa na binadamu akianza kula nyama ya mtu haachi.
Hapo mkulima umenena!
Si unaona jinsi Haki Elimu ilivyojipanga? Dr inabidi adeal na Wizara akiwa na kundi la watu wenye kuelewa what the system wants! Ku challenge system. Sasa Mama Salma kutembelea ndio nini? Ndio atapunguza vifo?
Mi aiseee....ningemkubalia vizuri msamaha..ingepita wiki,ningemwambia "darling sory nimetoka kugegedwa leo,mwanaume yule yuko sooo moto"
Afu ningeona atareact vipi..senzi zake
na mwanaume akianza kugawa nje
Wanaume tamaa tu kama sio matatizo kwny ndoa once akiwa na busara huacha
we yako ina matatizo
Nina mpenzi ambaye tuna mwaka na nusu sasa.
Jana kantumia txt kwamb "baby sory" nilipojarbu kumuuliza hyo sori ni ya nini akafunguka na kusema kna kipindi nilikuwa nakcheat nilikuwa na mahusiano na mtu mwingine kwa muda wa miezi ka miwil hivi but hatujafanya chochote.
Kiukweli moyo ulipasuka so kawaida nIlipojarbu kumhoji kwanini uliamua kufanya hivyo akasema alikuwa hajielewa na ndo maana aliamua kuachana nae na kubaki njia kuu..
kwa upande wangu sijamwelewa japo toka jana anaomba msamaha up to now ila nashindwa cha kumjibu kwani nahisi ka bado anandanganya..naomben ushauri ndugu zangu
Action and reaction are equal.....though move in different directions ..!!
Hawezi kukusamehe...