Jamani matumizi ya status za watu ni personal,ikikukera 'mute'.
Wengine hapa wanajishau oh hawapost sura zao lakini maisha Yao ya personal wameanika insta,Jf na FB!
Ebu tupunguze unafiki.Kutopost kitu status haikufanyi kuwa smart sana kuliko anayepost.
Kichwa cha habari umeuliza kuhusu kujifungua salama, ila mbele umeongelea kuhusu maumivu.
Uchungu upo pale pale hata ukisanzuka mpaka siku ya mwisho.
Kama hutaki kujisikia uchungu nenda Agakhan wakupige epidural.Utamaliza pesa yako yote.
Ulivyosema tu tuache kufuga paka na mbwa,tayari nikajua dishi limeyumba...hawa mifugo wameumbwa na Mungu ili tuwafuge domestically wewe unatukataza,kwanini Nuhu aliwapandisha kwenye safina sasa?Punguza imani za kishirikina utateseka sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.