Recent content by Phoenix

  1. Phoenix

    Status za WhatsApp zinatuonesha jinsi tulivyo na tunajichora tu kwa wengine

    Jamani matumizi ya status za watu ni personal,ikikukera 'mute'. Wengine hapa wanajishau oh hawapost sura zao lakini maisha Yao ya personal wameanika insta,Jf na FB! Ebu tupunguze unafiki.Kutopost kitu status haikufanyi kuwa smart sana kuliko anayepost.
  2. Phoenix

    Status za WhatsApp zinatuonesha jinsi tulivyo na tunajichora tu kwa wengine

    Kwa hio nyie ndo watu wa juu na wa maana Sana?
  3. Phoenix

    KWELI Kufanya mapenzi wakati wa ujauzito Kunaweza kuongeza kwa kiasi kidogo kichocheo cha kuanzisha uchungu ikiwa siku za kujifungua zimefika

    Kichwa cha habari umeuliza kuhusu kujifungua salama, ila mbele umeongelea kuhusu maumivu. Uchungu upo pale pale hata ukisanzuka mpaka siku ya mwisho. Kama hutaki kujisikia uchungu nenda Agakhan wakupige epidural.Utamaliza pesa yako yote.
  4. Phoenix

    Huku ndoa yake ikipumulia mashine, Jack Wolper apata bwana mpya!

    Bila uthibitisho? Angekupa elfu ishirini tu
  5. Phoenix

    Makinika na mijusi wa ndani ya nyumba!

    Vita gani bwana....usha athirika kisaikolojia.Ukipingwa unaona kama vita
  6. Phoenix

    Makinika na mijusi wa ndani ya nyumba!

    Ulivyosema tu tuache kufuga paka na mbwa,tayari nikajua dishi limeyumba...hawa mifugo wameumbwa na Mungu ili tuwafuge domestically wewe unatukataza,kwanini Nuhu aliwapandisha kwenye safina sasa?Punguza imani za kishirikina utateseka sana.
  7. Phoenix

    "Kindo kisha lya na mwanamau" hii ndo siri inayowaunganisha wachaga

    Igeni mazuri.Wachaga kama waarabu tu
  8. Phoenix

    Licha ya ushahidi wa AL Jazeera, kwanini Hamas hawataki kuomba msamaha familia za Wapalestina 500 waliofariki kwa kombora lao kupata hitilafu?

    Waba akili sana,ndio maana wamepeleka msiba mzito kwa raia wasio na hatia na wasio weza kuwalinda.
Back
Top Bottom