Msamvu pana mambo ya ajabu mno,wapiga debe wasumbufu,wanakudaka juu juu,unatajiwa kuda mzuri.Ukilipia tu wanakula kona wanakuacha kama yatima,ukifuatilia unaishia kutukanwa.Pia wana ushirikiano mno ni kama hakuna utawala pale.
Jamani matumizi ya status za watu ni personal,ikikukera 'mute'.
Wengine hapa wanajishau oh hawapost sura zao lakini maisha Yao ya personal wameanika insta,Jf na FB!
Ebu tupunguze unafiki.Kutopost kitu status haikufanyi kuwa smart sana kuliko anayepost.
Kichwa cha habari umeuliza kuhusu kujifungua salama, ila mbele umeongelea kuhusu maumivu.
Uchungu upo pale pale hata ukisanzuka mpaka siku ya mwisho.
Kama hutaki kujisikia uchungu nenda Agakhan wakupige epidural.Utamaliza pesa yako yote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.