Recent content by Phoenix Bird

  1. P

    Nadhani mke wangu mshipa wa aibu ulishakatika

    Mdau ukiona mkeo anajificha kuhusu kujamba mbele yako ujue ana mengi anajificha. Kujamba kukojoa ukiwa unaoga ya kawaida. Kidogoo Hilo la kukata gogo ukiwa unaoga limekaa kushoto maana ukivundika mavyakula tumboni kitachotoka lazima ushike pua. Jitahidi kumuelekeza atakuelewa tu. Ni vya kawaida...
  2. P

    Msaada: Natokwa na jasho sana

    Wana jukwaa nikwamba nina hali ya kutokwa jasho jingi nikifanya zoezi. Yaani kulowa jasho kawaida. Wakati mwingine hata ninapokula natokwa jasho. Je tatizo ni nini na linaishaje? Maana nakunywa Maji ya kutosha mpaka lita 2 kwa siku.
  3. P

    Mbowe, Jipime kwa mustakabali wa CHADEMA, Kinusuru Chama

    Siasa si kama unavyo bashiri maana hata zitto wakati anahojiwa alijitamba kusimamisha wabunge karibu majimbo yote lakini Mahimbo 264 kawa mbunge peke yake. Huko kubadilishia ndege angani ni kupigi?Lowasa kaleta hamasa kubwa kwa upinzani pia wazo la UKAWA limeonyesha mafanikio. Tumeona kwamba...
  4. P

    Mrisho Mpoto: Watanzania, Safari imenishinda, nauli zenu nitarudisha!

    Heko. Kumbe na wewe unajua. Na kasema tusimuulize kwann hataki tena
  5. P

    CHURA: JKT Taarab walitisha sana enzi hizo !

    Hii link ya 2012 lakini Leo 2014 nimeingia kutafuta hiz audio.. Kweli old is pure gold.thanks kwenu hasa dot word mtupia audio name jf kwa ujumla
  6. P

    naombeni mawazo

    wana-forum mimi ni kijana wa miaka 23 ni mwanachuo.. nina malengo ya kuanzisha biashara japo sina uzoefu wa kutosha.. Nina mtaji mdogo sana wa kama milioni moja na bado sijajua ni biashara gani inaweza kuwa na manufaa kwanza as long as sipendi nuajiliwa. hivyo naombeni mawazo yenu juu ya kipi...
  7. P

    BOT Vacancies

    hii ndo tanzania.. Suala la kujiajili ni zuri ila sasa mziki wake sio mdogoo
Back
Top Bottom