Twiga akiwa anatembea miguu yake ya upande mmoja inaenda pamoja
Kwa mfano miguu ya kushoto mbele na nyuma ananyanyua pamoja ikishuka ananyanyua ile ya kulia pamoja
Ni tofauti na wanyama wengine
Kuna mmoja huyo hata hakupigwa maana ilisemekana ana hirizi hata wapige vipi hawezi kufa so wanaojua mambo hawakusumbuka hata akashindiliwa msumari wa nchi 6 sikioni half akaruhusiwa kuondoka hakufika hata 50m akapunga mkono wa kwa kheri akafa
Kwa nini hujawaza wanaotokea private school wakifika chuo kikuu wanakuwaje kwenye taaruma, si tunakutana nao huko,, ukishawaza hapo utajipinga na hoja zako
Shafiih anacopy na kupaste news za magazete ya ulaya na kitendo cha kujifanya yeye ndo hashauriki kimtazamo ndo kinamharibia sana,,,,,,,EDDO KUMWEMBE NAMKUBALI
Kwanza pole sana mkuu
Unajua hata kama ukioa malaya lkn usijue walio do nae,,,, lkn kama wapo mtaani kwako na wote kakubali kawagaiwia aseeee kwangu bibi badiri gia nenda kwingine utaja teseka bure kwa mawazo na wivu wa kila saaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.