Ushauri wako unahitajika haraka

Agresive

JF-Expert Member
Feb 18, 2018
889
1,226
Pole na majukumu wakuu
niende kwenye mada moja kwa moja..round ya pili ya selection vyuoni nimechaguliwa mzumbe na nikachaguliwa katika chuo kimoja tu, Mzumbe walinitumia sms kwa cm yangu kuwa nisubiri CODE KUTOKA TCU ili nithibitishe kwenda Mzumbe sms hiyo walinitumia Juma3 wiki hii.
sasa mpaka leo sijapata CODE hiyo jana nikawapigia mzumbe wakaniambia wao hawahusiki kutoa CODE HIZO, leo trh 5 ni mwisho wa kuconfirm, TCU wana huduma ya cm ya mezani ile namba huwa hawapokei hata upige siku nzima, ukiwatumia Email pia hawajibu..na kibaya zaidi kwa website ya TCU wametoa tangazo kuwa mambo yote ya vyuo au utata wowote ulize kwenye chuo ulichochaguliwa ukipiga chuoni hakuna msaada sasa ushauri wenu wakuu, kama kuna mtu mwenye tatizo kama hili anipe uzoefu yeye alilitatuaje au anatarajia kufanyaje.

Niliko kwa sasa siwezi kufika TCU niko mkoani. ushauri wako ni muhimu.
 
Mkuu ukichaguliwa chuo kimoja tuu kwa mfano Mzumbe inakuwa aina haja ya kutumiwa code za kuthibitisha maana unathibitisha nn ? kwa sababu ungechaguliwa vyuo zaidi ya kimoja apo ndipo ungetumiwa code ili uthibitishe unapenda kwenda chuo gani kati ya ivyo ulivyo chaguliwa.
Kwaiyo mm nazan iyo tahalifa ilikuwa sio sahihi kwa upande wako
.
 
Mkuu huna haja ya ku confirm. Angalia kwenye Admission Account yako utakuta wamekupongeza kwa kuchaguliwa Mzumbe na wamekutumia Admission letter na Joining instructions.

Kama kuna utata wasiliana na 0756-481410 huyu jamaa alinisaidia ku confirm baada ya code ya TCU kugoma kwa sisi wa First multiple selection.

Tukutane Mzumbe panapo uzima mkuu. Hongera.
 
Pole na majukumu wakuu
niende kwenye mada moja kwa moja..round ya pili ya selection vyuoni nimechaguliwa mzumbe na nikachaguliwa katika chuo kimoja tu, Mzumbe walinitumia sms kwa cm yangu kuwa nisubiri CODE KUTOKA TCU ili nithibitishe kwenda Mzumbe sms hiyo walinitumia Juma3 wiki hii.
sasa mpaka leo sijapata CODE hiyo jana nikawapigia mzumbe wakaniambia wao hawahusiki kutoa CODE HIZO, leo trh 5 ni mwisho wa kuconfirm, TCU wana huduma ya cm ya mezani ile namba huwa hawapokei hata upige siku nzima, ukiwatumia Email pia hawajibu..na kibaya zaidi kwa website ya TCU wametoa tangazo kuwa mambo yote ya vyuo au utata wowote ulize kwenye chuo ulichochaguliwa ukipiga chuoni hakuna msaada sasa ushauri wenu wakuu, kama kuna mtu mwenye tatizo kama hili anipe uzoefu yeye alilitatuaje au anatarajia kufanyaje.

Niliko kwa sasa siwezi kufika TCU niko mkoani. ushauri wako ni muhimu.
UPDATE
kwanza nashkru wote kwa ushauri wenu na kunitia moyo baada ya kuandika tatizo langu hapa JF pia ilinibidi nifanye mawasiliano ya kina na chuo cha MZUMBE NA UDOM, UDOM wakaangalia kwenye database yao wakajiriddhisha kabisa pasina shaka hawajanichagua..ikabidi nikomae na MZUMBE nikawaelezea kuwa wameniweka kwenye multiple wakati nimechaguliwa chuo kimoja tu.. nikawatumia taarifa zangu wakawasiliana na TCU mpaka kufikia muda wa saa 6 mchana tatizo likatatuliwa....hivyo basi tatizo limeisha na kwenye akaunti yangu wakafuta sehemu ya kuconfirm wakanitumia na admission letter..

NAWASHKRU WOTE WOTE KWA USHAURI WENU.
 
Duu story yako kama yangu! Mpaka nishakata tamaa na elimu
pole sasa ndg mimi baada ya kuwapigia wahudumu tofauti katika chuo nilichochaguliwa na kuwaelezea shida yangu hatimaye mchana walifanikiwa kutatua tatizo langu, hivyo nakushaur usikate tamaa fatilia chuo ulichochaguliwa watakusaidia kulitatua...pole sana.
 
Hongera kaka ila tanzania wanafunzi wanapitia changamoto na stresss nyingi sana kwa kwel...
 
Hongera kaka ila tanzania wanafunzi wanapitia changamoto na stresss nyingi sana kwa kwel...
yaani mr..acha kabisa yaani mpaka unakwenda kusoma umeshasota sana..baada ya kuleta hizo code ndiyo imekuwa hovyo hovyo. jana ilikuwa mwisho ila inaonesha kuna watu wengi hawakupata code sijuw itakuwaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom