Recent content by Philipo patrick

  1. P

    Analalamika kuwa mke wake hamuandalii wala kumuita chakula kikiwa tayari na anamuachia ‘dada wa kazi’ afanye hivyo

    kuna wanaume wameolewa na wake zao na mbaya zaidi hawajui kama wameolewa..!!
  2. P

    Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

    Ha ha ha amewafanya misukule wake, mnashinda kusubiri hadithi za kutungwa kwan hamna kazi zingine za kufanya. Nyie ndio mnaofanya akina bashite wajiamin wakijua lazma 2020 warudi kutawala.idiot!!!!
  3. P

    Ajira kwa sasa zinatenganisha familia, Wanandoa wanaishi sehemu tofauti

    msijali tunawaletea treni ya kasi,, mtalala na wake zenu dar asubuh mtaenda Dom kazin,jion mtarud kwenye familia zenu. Cc msiba
  4. P

    Mfumo wa maisha ya Sasa japo nina shahada naona bado giza totoro

    Tuondoleee uoga wako hapa. biashara inataka uvumilivu na we unaoneka muoga wa kiwango cha juu... Okay nenda katumikie wenzako huku hakukufai.
  5. P

    Mke wa Askofu Gwajima Amkingia Kifua Mumewe “Mimi ni jasiri kama Simba, Mume wangu namfahamu”

    anaenda sokon na hammer ulitaka asemaje? ili aanze kwenda na miguu kama ww?
  6. P

    Swali lolote kuhusu mambo ya upande wa pili (kiroho)

    Je ni kweli naweza tengeneza my destiny kupitia mawazo na fikra zangu..nje ya destiny aliyonipangia Mungu.? je ni kweli mtu anaweza jitengenezea destiny yake au kila MTU ameshaandaliwa take HVO lazma atatembea humohumo??
  7. P

    ANAHITAJIKA KIJANA WA KUHUDUMIA SHAMBA LA KUKU

    nipo bukoba nipo tayar ..sijui namna ya kpm nisaidie 0718456529
  8. P

    Mara nyingine maisha ya ndoa ni Vita. Huyu jamaa sijui nimfanyeje?

    Mhh eti namwamin mke wangu mwaminifu, wakati huohuo huyo mwaminifu anafanya mambo kwa siri..ha ha haa broo upo gizan wewe
Back
Top Bottom