Kwenu wana JF habari za hapo ulipo
Niende kwenye mada miaka ya nyuma kulikuwa na utaratibu wa kuwaunganisha watumishi wana ndoa kuwa mume/mke alipata uhamisho wa kumfuata mwenza wote wakawa watumishi na wanafamilia
Kwa sasa imesitishwa kwa kipindi kirefu hali inayopelekea watoto kulelewa na mzazi mmoja na wanandoa hawa wanaingia majaribuni kwa kukutana mwezi mmoja katika mwaka
Mimi ninaomba kwa wanao husika waangalie upya jambo hili pia namuomba mheshimiwa Rais asaidie katika hili kwani waathirika wapo wengi. (Ndoa na iheshimiwe na kila mtu)
Kuwatenga sababu ya ajira zao sio haki yao pia ni kukiuka maagizo ya Mungu mnao husika tafakarini upya
Aksante nawasilisha
Niende kwenye mada miaka ya nyuma kulikuwa na utaratibu wa kuwaunganisha watumishi wana ndoa kuwa mume/mke alipata uhamisho wa kumfuata mwenza wote wakawa watumishi na wanafamilia
Kwa sasa imesitishwa kwa kipindi kirefu hali inayopelekea watoto kulelewa na mzazi mmoja na wanandoa hawa wanaingia majaribuni kwa kukutana mwezi mmoja katika mwaka
Mimi ninaomba kwa wanao husika waangalie upya jambo hili pia namuomba mheshimiwa Rais asaidie katika hili kwani waathirika wapo wengi. (Ndoa na iheshimiwe na kila mtu)
Kuwatenga sababu ya ajira zao sio haki yao pia ni kukiuka maagizo ya Mungu mnao husika tafakarini upya
Aksante nawasilisha