mkuu naona kama umeamua kunishambulia ivii
ilo swali apo mbona nilisha lijibu
Alafu ninacho taka kukifanya sio haramu so haina haja ya kuwa na hofu za IP I dress
ila kama unahofu nimesema ntampa location na contact number ambaye atakuwa amenisupport so haina haya yakuwa na hofu
Sent using...
itanichukua kama miezi 10-12 kukamilisha kazi kusudiwa ..baada ya hapo naweza irejesha
hata ikiwa ya yoteyote pia itakuwa njema
Sent using Jamii Forums mobile app
kunakazi nataka niifanyie. nazani sio vyema sana kuanza kutiririka hapa nikazigan haswa .huenda zikaaza kuzuka mada ambazo sio kusudio..
nikipata PC tu yatosha ayo mengine nitapambana nayo mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
sio wote tuliopo JF tumesha yawin haya maisha wengine ndio bado kwanza tunayapambania..kwa wewe ambae umeshapata chochote kitu huwenda ulitokea hukuhuku nilipo mwenzio kwa sasa na ulitamani sana ungelisaidiwa wakait unashida kama nilivyo mimi huenda ulipata wa kukushika mkono au ulikosa pia ila...
Habarini wakuu wote wa JF.nawasilisha ombi langu lakuomba kusaidwa kupata PC au desktop computer..kwa jitihada zangu binafsi nimejarbu kutafuta pesa ili niweze kununua imekuwangumu sana kwa sasa na naona itanichukua mda mrefu sana ilikuweza kufanikisha nanina uhitaji nayo mkubwa sana kwa sasa...
sina kesi ila nilipenda ungenipatia ushauri wa kisheria haswa kwa maswala kadhaa yanayo nitatiza kwa kutoijua sheria...kama upo tayari niruhusu niendelee
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.