OMBI:kwa unaemiliki PC au desktop computer

OMBI:kwa unaemiliki PC au desktop computer

huyo tatizo anawenge sana hajui mandishi yake ndio ushawishi
Ni kweli ukifuatilia tu majibu yake tayari amesha jaa upepo.
Hana lugha ya ushawishi kabisa. Si kila utakacho omba lazima upewe moja kwa moja wapo watu humu wanaweza kupa njia ya kupata hitaji lako. Sasa mtoa mada usiwe mwepesi wa kutoa povu au majibu ya shortcut.

SangaweJr
 
mkuu naona kama umeamua kunishambulia ivii

ilo swali apo mbona nilisha lijibu

Alafu ninacho taka kukifanya sio haramu so haina haja ya kuwa na hofu za IP I dress

ila kama unahofu nimesema ntampa location na contact number ambaye atakuwa amenisupport so haina haya yakuwa na hofu
huyo tatizo anawenge sana hajui mandishi yake ndio ushawishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka msaada kisha unaficha unachotaka kikifanya, aisee ngoja tuone mf. wewe unashida mimi nianze kujihangaisha na wewe PM serious? Huna jina, huna address, hujulikani unafanya nini, majibu huwi straight typical masikini jeuri
 
Hio hapo mkuu chukua
1552646484959.jpeg
 
ni shughuli gani hiyo unayofanya siri hivyo,

kuna tatizo mahali hapa.
 
Machinga mkuu, tena hio ina 2gb ram na 320GB hdd na c2d, zipo za chini ya hapo ukirudi enzi za Pentium 4.
Pande zipi maana wapo wengi pale je zinakaa PC zenyewe?
Siyo baada ya mwezi kitu kinaleta matata
 
Pande zipi maana wapo wengi pale je zinakaa PC zenyewe?
Siyo baada ya mwezi kitu kinaleta matata
Kwa pc ya miaka zaidi ya 10 iliopita siwezi kukuhakikishia, ila vifaa vingi vya computer vinadumu sana tatizo kubwa ni psu zinakufa sana na Tanesco yetu hii.

Pia nimewahi nunua laptop ya 150k hapo hapo, machinga, floor ya tatu kama sijakosea ukichungulia dirishani unauona uwanja wa karume kwa chini.
 
Back
Top Bottom