Habar wana jamii, kwanza nianze kwa kusema mm ni mtu mwenye hasira sana, ninasumbuliwa na depression napenda kujiisolate na kukaa mwenyewe, tangu nimalize chuo sikutafuta kazi nimejifungia ndani huu mwaka wa tano, sikuwa naelewa tatizo langu nini Ila nimejua mwaka Jana kuwa shida ni mental...
hayo ni yako sasa. biblia inasema mungu akawabariki akawaambia zaen muijaze dunia, kuzaa kunatokana na tendo, na tendo linahusisha viungo vya siri kat ya mwanaume na mwanamke, there is no logical reason to say kulikuwa na njia nyingine. where, how?
kama aliwanyiwa mbona aliwaambia wazaane waijaze dunia? alitegemea wangezaaje bila hilo tendo, na kwann awaumbie hivo viungo alafu awanyime kuvitumia. use ur common sense man
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.