Kwa kasi ya mismanagement ya uchumi na ufisadi ambao tumekuwa tukiusema hapa kila siku jumlisha na fedha zinazoenda kwenye kampeni uchwara, Hazina Kuu imekauka.
Hadi leo hata hao mapolisi hawajalipwa. Bank overdraft ya BOT haijatosheleza. Baada ya uchaguzi Tanzania kuwa Zimbambwe ya Kisasa.
Hakika kiongozi. Unapoanza kuona viongozi wa vyombo vya Dola wanakuwa na ukwasi kama ilivyo kwa IGP kuwa na zaidi ya Bilioni Benki. Familia ya Mombo kuwa na pesa za kuchezea hivi , watu hawa hawaishi viapo vyao. Nchi ipo rehani. Liwalo na liwe.
Kwa video zinazoendelea kuwekwa na Dada Mange zikionesha utajiri usiendana na Kipato cha Dgis Mombo na Familia yake. Nashauri Rais Samia Tengua uteuzi wa Mombo mara moja.
Leo kuna video ya Hidaya Binti wa Mombo akichezea Dola laki 3 takribani milioni 800 za Tanzania taslim na akiwanyooshea...
Mungu anaenda kutenda jambo kubwa tena kwa Taifa kupitia Lissu. Aliyeagiza kupigwa Risasi alikufa kwa mateso makubwa. Anayeagiza kumfunga atapata mateso makubwa mno kabla ya umauti wake.
Kuna lile li Mkurugenzi la Tume li Kapilima Omary ni dude shenzi sana na lenye mlengo fulani wa upendelevu. Ipo siku yake tu. Na tunajua mienendo yake pale Morogoro atashughulikiwa.
Pamoja na jitahada za KM Msigwa kutaka wananchi wajibu Salaam za Mheshimiwa Rais kwa Vibe. Uwanja ulikuwa kimya. Hizi ni Salaam na ndio hali halisi mtaani. Sio sokoni, vyuoni wala kwenye nyumba za ibada.
Watu wengi wanaona hakuna uchaguzi ila kiini macho. Ila kwa kuwa yeye anataka tu atangazwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.