Recent content by PhD

  1. P

    Tetesi: Hazina Kuu Imekauka, Mishahara ya Septemba Itachelewa

    Kwa kasi ya mismanagement ya uchumi na ufisadi ambao tumekuwa tukiusema hapa kila siku jumlisha na fedha zinazoenda kwenye kampeni uchwara, Hazina Kuu imekauka. Hadi leo hata hao mapolisi hawajalipwa. Bank overdraft ya BOT haijatosheleza. Baada ya uchaguzi Tanzania kuwa Zimbambwe ya Kisasa.
  2. P

    Tetesi: Rais Mfute Kazi Suleiman Abubakr Mombo Mara Moja

    Hakika kiongozi. Unapoanza kuona viongozi wa vyombo vya Dola wanakuwa na ukwasi kama ilivyo kwa IGP kuwa na zaidi ya Bilioni Benki. Familia ya Mombo kuwa na pesa za kuchezea hivi , watu hawa hawaishi viapo vyao. Nchi ipo rehani. Liwalo na liwe.
  3. P

    Tetesi: Rais Mfute Kazi Suleiman Abubakr Mombo Mara Moja

    Kwa video zinazoendelea kuwekwa na Dada Mange zikionesha utajiri usiendana na Kipato cha Dgis Mombo na Familia yake. Nashauri Rais Samia Tengua uteuzi wa Mombo mara moja. Leo kuna video ya Hidaya Binti wa Mombo akichezea Dola laki 3 takribani milioni 800 za Tanzania taslim na akiwanyooshea...
  4. P

    Jaji mkuu Tanzania ana uwezo mkubwa wa kuwa shujaa kipindi hiki

    Upo sahihi kwa tunaomfahamu Msababto Masaju. Kuna mwanga mbele.
  5. P

    Nani ni mfugwa kati ya hawa?

    Mungu anaenda kutenda jambo kubwa tena kwa Taifa kupitia Lissu. Aliyeagiza kupigwa Risasi alikufa kwa mateso makubwa. Anayeagiza kumfunga atapata mateso makubwa mno kabla ya umauti wake.
  6. P

    Wateja wa CRDB hali ni tete, miamala mingi haieleweki

    Angela Kizigha anatoa bilioni 16 zake
  7. P

    GE2025 Mpina ashinda kesi kuenguliwa kuwa mgombea Urais

    Kashatumika kama mpira kwishinei
  8. P

    GE2025 INEC mmepuyanga kwenye kesi ya Mpina na sasa hamna uhalali wowote kuendelea na zoezi lenu la uchaguzi

    Kuna lile li Mkurugenzi la Tume li Kapilima Omary ni dude shenzi sana na lenye mlengo fulani wa upendelevu. Ipo siku yake tu. Na tunajua mienendo yake pale Morogoro atashughulikiwa.
  9. P

    Kususwa kwa Salaam za Rais jana uwanja wa Mkapa ni kiashiria kibaya sana

    Pamoja na jitahada za KM Msigwa kutaka wananchi wajibu Salaam za Mheshimiwa Rais kwa Vibe. Uwanja ulikuwa kimya. Hizi ni Salaam na ndio hali halisi mtaani. Sio sokoni, vyuoni wala kwenye nyumba za ibada. Watu wengi wanaona hakuna uchaguzi ila kiini macho. Ila kwa kuwa yeye anataka tu atangazwe...
  10. P

    GE2025 Prof. Kitila: Tanzania ni Nchi ya Vyama vingi, tunashindana na Vyama 17

    Huyu baba yake angevaa mpira wa kiume kuiokoa dunia
  11. P

    GE2025 'System upgrade' ya Benki ya CRDB haisafishi Mafisadi?

    wanataka kuficha taarifa za akina Bilionea IGP KAMILIUS WAMBURA. Siku askari wapiganaji wakijitambua wanavyotumika siku hiyo hiyo nchi inakombolewa.
Back
Top Bottom