Hongereni sana ACT Wazalendo mmeonesha kwa vitendo namna ya kutengeneza CHAMA cha SIASA chenye mifumo, miundo na nguzo. Hakika sasa mnaelekea mahala pazuri sana.
Viongozi wa CHADEMA wanakosa sifa ya kuaminika kwa umma kama chama mbadala. Wametanguliza maslahi binafsi kuliko ya wanachama wao. Kwenye masala ya Fedha CHADEMA hawajawahi kuwa wawazi. Hii ni dosari kubwa kwa chama kinachoikosoa Serikali.
Hakuna operesheni hata moja ya michango ambayo imewahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.