Tulisimamisha kila kitu kupisha mnyukano kati ya vijana wasio na silaha dhidi ya majeshi yenye AK47

Tulisimamisha kila kitu kupisha mnyukano kati ya vijana wasio na silaha dhidi ya majeshi yenye AK47

Baada ya oct29 nilitoka huku kijijini kwangu kwenda jijini Arusha kujionea halihalisi nakumbuka ilikuwa nov.4 hivi nilimkuta askari mmoja wa jeshi la wananchi nilosoma naye kule Dakawa akiwa amesima kwenye makutano ya kona ya mbauda akiwa ameshikilia silaha nzito huku akimsimamisha baadhi ya vijana na kuwahoji na wengine akiwapa adhabu mbalimbali sikuweza kumsogelea kwani alikuwa kazini na wenzie wakiwa sirias sana

Kwa bahati nzuri ama mbaya tulikutana naye kijijini kwenye msiba wa mama wa brigadia mmja amvaye pia ni mama yangu mdogo kwa kweli mie sikuvumilia nilimuuliza kwanini hali ile ya october ilitokea
Akanijibu kuwa ni wananchi wanataka nchi yao
Nikamuuliza kwanini sasa mliwazuia tena kwa kuangamiza baadhi yao
Akajibu sisi tulikuwa kazini

kisha akaendelea kusema mimi nimeshangaa wameanza vizuri lkn finishing yao ikawa ya hovyo na sasa itakuwa ngumu sana hawatoweza tena wamebugi vibaya mno wala wasijaribu tena.

Hili nimeliona jana vijana hawa wamekoma hawatorudia tena
Jana tuliwachia uwanja wapambane sisi tukiwa mafichoni lakini nashangaa nao walijificha wameingiza upepo tofauti na wenzao wa kenya wasiokoma

Nchi hii mtawala hupanga anachotaka na hii hali itadumu sana japo mwanajeshi yule schoolmate wangu alinambia kuwa 2030 yatatokea mabadiliko makubwa sana lkn sio kuking'oa kisiki hiki.
Hakuna jeshi pale zaidi ya watu waliofeli darasani
 
Baada ya oct29 nilitoka huku kijijini kwangu kwenda jijini Arusha kujionea halihalisi nakumbuka ilikuwa nov.4 hivi nilimkuta askari mmoja wa jeshi la wananchi nilosoma naye kule Dakawa akiwa amesima kwenye makutano ya kona ya mbauda akiwa ameshikilia silaha nzito huku akimsimamisha baadhi ya vijana na kuwahoji na wengine akiwapa adhabu mbalimbali sikuweza kumsogelea kwani alikuwa kazini na wenzie wakiwa sirias sana

Kwa bahati nzuri ama mbaya tulikutana naye kijijini kwenye msiba wa mama wa brigadia mmja amvaye pia ni mama yangu mdogo kwa kweli mie sikuvumilia nilimuuliza kwanini hali ile ya october ilitokea
Akanijibu kuwa ni wananchi wanataka nchi yao
Nikamuuliza kwanini sasa mliwazuia tena kwa kuangamiza baadhi yao
Akajibu sisi tulikuwa kazini

kisha akaendelea kusema mimi nimeshangaa wameanza vizuri lkn finishing yao ikawa ya hovyo na sasa itakuwa ngumu sana hawatoweza tena wamebugi vibaya mno wala wasijaribu tena.

Hili nimeliona jana vijana hawa wamekoma hawatorudia tena
Jana tuliwachia uwanja wapambane sisi tukiwa mafichoni lakini nashangaa nao walijificha wameingiza upepo tofauti na wenzao wa kenya wasiokoma

Nchi hii mtawala hupanga anachotaka na hii hali itadumu sana japo mwanajeshi yule schoolmate wangu alinambia kuwa 2030 yatatokea mabadiliko makubwa sana lkn sio kuking'oa kisiki hiki.
Mnafiki tu huyo...
 
Kurudi nyuma sio kushindwa bali kujipanga vyema imara zaidi Nakupinga katika hoja yako na huyo rafiki yako nadhani bado ni kuruti hajawiva vizuri kwenye hizi medani yeye kazi yake kutumikia order za wakubwa. Watanganyika walijifunza sana yaliyotokea Oct29 na ni vyema 7/7 Hawakuandamana.Nikuulize Unapigana vipi? na Adui Mwenye Bunduki wakati wewe silaha yoyote huna hata mawe, Nchi haidaiwi kizembezembe.Maandamano ni mipango madhubuti i Usidhani zile Damu za ndugu zetu zimelala Jidanganyeni siku Watanganyika watapomilikishwa silaha Jibu Mtakuwa nalo wenyewe.
 
Back
Top Bottom