Huwez ukasema amekubal moja kwa moja yule n mtu mzma yaweza ikawa kuna jambo lnamtia mashaka juu yako kwahy yupo kwa ajl ya kujua zaid kwahy kaa nae kwa akl endelea kumkazia upo kwenye mizan anapma je huyu nkmkubal atanifaa au nkimkataa nitakuwa nimepiteza??
Ila endelea kumkazia huyo mtoto n wako
NDEGE ZINA FAIDA GANI KWA MTANZANIA?
Tangu Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli iingie madarakani imekazania kununua ndege kwa ajili ya Shirika la ndege la Tanzania (ATCL). Baadhi ya Watu wanahoji kwanini pesa hizo za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.