Recent content by Pharu_khalifa

  1. P

    Mwanamke kutokukujibu unapomtongoza

    Huwez ukasema amekubal moja kwa moja yule n mtu mzma yaweza ikawa kuna jambo lnamtia mashaka juu yako kwahy yupo kwa ajl ya kujua zaid kwahy kaa nae kwa akl endelea kumkazia upo kwenye mizan anapma je huyu nkmkubal atanifaa au nkimkataa nitakuwa nimepiteza?? Ila endelea kumkazia huyo mtoto n wako
  2. P

    Waliokuwa wakipanda Bombadier mpya jana huku wakitupungia mikono mlangoni walikuwa wanaelekea wapi?

    Wengine walikuwa wanaenda kutoa gundu maaana kupanda vile ndege yaweza kuwa ndo mara yake ya kwanza na ya mwisho pia
  3. P

    Ndege zina faida gani kwa Mtanzania?

    NDEGE ZINA FAIDA GANI KWA MTANZANIA? Tangu Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli iingie madarakani imekazania kununua ndege kwa ajili ya Shirika la ndege la Tanzania (ATCL). Baadhi ya Watu wanahoji kwanini pesa hizo za...
  4. P

    Tukumbushane matumizi ya hela ya boom au loan board

    me cna hela ila vyet nnavyo na ela yao ndo imesabbsha nikapata hvyo vyet wakiona vip wachukue vyeti afu tucdaiane[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Back
Top Bottom