Kutokana na kuinia kilimo,, Kwa upande Wa masoko ni tatizo kubwa,,, wakulima wa mahind wamekosa soko la mahindi,, wazir wa kilimo yupo,,, wala haonyeshi ushirikiano wa kutafuta masoko,,,,, hali ni ngum Kw wakulima nenda ludewa, njombe, ruvuma, mpanda wakulima Wana mahindi ya kutosha ila soko...
Jaman sijuwi Kuna siri Gan ktk gonjwa hili tuamin mung yupo na anaponya,,, mwenyewe hapa siwez simulia mana mmesha maliza hiz Kash Kash,,, tusipende kumnyishea mtu kidole hususan wanaume hatuathiriki kirahis,,, tuzid kumwomba mungu,,
Serikali imejikita kwenye mazao ya biashara,, Kwa kuwatafutia masoko,,, ila wakulima wa mazao ya chakula watafute masoko wenyewe,, wakati baazi ya mikoa zao la mahind ni kama zao la biashara,, wazir wa kilimo ni mzigo kashindwa hata kutafuta masoko ya mahindi
Raisi wawatanzania..tunaomba ufike mikoa ya kusin,, mbeya, njombe,, ruvuma. Tupo kaa yatima walio sahaurika ktk ardhi yenye rutba, na madini yasiyo chimbwa, pia uje usikie shida na kero za wananch wako. kaa kulima tunalima Sana Lakin tumekosa masoko ya mahind, viaz, mbao. mkuu wetu tuna amin...
Huyu,, Jerry muro,, kiaz kweli nilijuwa naye atajibu kwa data,, na si mipasho ya taarabu,, kweli huyu ni mwanaume wa dar,, Zito si sahiz yako,,,, hapo ni uchonganish wa familia ya Zito,, uchumi Mara ndoa,,, jibu kwa hoja huu sio mpira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.